Njia gani sahihi za kuzuia mimba mara baada tu ya kujamiana?

Njia gani sahihi za kuzuia mimba mara baada tu ya kujamiana?

Zui ukimwi na hilo utakua umezuia. DOUBLE TARGET, nahc 2po pamoja..
 
AHSANTE MLETA MADA KWA MJADALA HUU.BUT NAOMBA NIULIZE LET SAY MPENZ WAKO YUPO SIKU ZA HATARI AMBAZO AKIFANYA NGONO ANAWEZA PATA MIMBA.swali.JE MKIFANYA NGONO BILA KINGA SIKU YA HATARI NA UKAEJACULATE NDANI.BUT AFTER TEN MINUTES AKAENDA KUOGA.JE KUOGA HUKO AKIJISAFISHA KWA MAJI INAWEZA KUONDOA MBEGUBM ZOTE NA ASIPATE MIMBA??/??
Ndugu , sperms, hazioshwi kwa maji, hata kama utaingiza Mpira wa kumwagilizia bustani. Ukiisha ejaculate, mbegu zinasafiri kuelekea katika filopian tubes zikifuata yai liliko ambako maji unayotaka kuoshea hayatafika. Tena ni hatari zaidi kama mwanamke atakuwa ni yule mwenye multi orgasms huyo ni moto Mara moja.
 
Angalia dawa hii ya wanawake wa kiswahili:-- Kabla ya kufanya, anameza kipande kidogo cha mkaa kisha anaendelea na kazi. Kwa kufanya hivyo, anazuia mimba, pamoja na magonjwa ya kuambukizwa toka kwa mwanamme anayeenda naye.
 
Kuna jamaa yangu back in college yeye huwa anamnywesha huyo patina wake chupa mbili za maji uhai za baridi saaana.
Yule jamaa sijui alipata wapi ile method
Alitoka apo nikukojoa tu, ukitoka kumwagiwa ukikojoa fasta zinatema zoootee
 
Back
Top Bottom