6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,562
- 3,028
Wewe ulipataje visa, uliingiaje..? Na je kwasasa vijana wa Tz wanaweza kifuata taratibu zipi wakaingia na kutafuta maisha..?UK afadhali,mtu anaweza fanya kazi hata kama hana legal permit. Tatizo UK ni visiwa. Kuingia huko ni ngoma nzito. Na kupata visa na kwenyewe si rahisi kihivyo.
Toa hizo njia ngumu unazozizungumzia fungukaaa!