Njia pekee nyepesi ya kuingia Ulaya kwa wale wanaohitaji kujilipua ni hii...

Njia pekee nyepesi ya kuingia Ulaya kwa wale wanaohitaji kujilipua ni hii...

Sawa mkuu,,

Kwa Kawaida ukweli wa ng'ambo hausemwi.

Usione watu wanarudi na mafanikio Kuna mengi huko usiyoyajuwa.

Maisha hayataki kujaribu haswa ukiwa over 40 years.

Muda wa kujaribu ni under 30.

Hata ukikaa ulaya miaka 20 mengine bila mafanikio bado huna Cha kujutia.

Mimi napenda kueleza ukweli uchungu.

Kama unajipatia kipato kizuri hapa nyumbani usiende kubahatisha maisha ulaya.
uko sahihi mkuu...ila tatizo linakuja hivi...unadhania uko sahihi tuuuu!! Km unavo fikiri...hilo ni kosa mjomba wangu alienda huko akiwa na 50 yrs! Wanae wakamfuata hukoo!! Wakabuni miradi waliyo buni asa hivi wako mbali mnoo! Hawataki kurudi...amini nakwambia misaada ya kuja kwenu africa miaka ijayo itakuwa inapitia mikononi mwa diasporas weusi....walio njema.
Hata hapo nyumbani wapo walioshindwa mbaya..kiasi na zaidi...lkn pia kufirisika ukiwa hapo nyumbani ni rahisi zaidi kuliko kufilisika majuu.....hata usemeje majuu ni majuu tu...km ukiamini nyota itakuwakia....huwezi nambia nikskuelewa eti maisha ya manzese/mbagala/kamunyonge sijui mahurunga kuleee! Eti ni bora kuliko majuu....hata km unaingiza million moja kwa siku ukiwa mtwara.na mie kule canada naingiza elfu 20. Bado canada ni Bora sana tuuu. Ndo tulivyo huku......hatujiiii....kaeni kwa kutulia na vihepe vyenu...ingiza hela zenu muingizavyo lkn hatutaki kurudi....huko tutakuja kutembea tuuu.
 
Kwanini ukahangaike ugenini kama umeshindwa kupambana uwanja wa nyumbani???
Shida ya nyumbani mifumo imewekwa kukubana usitoboe tofauti na Ulaya kule mifumo ndio inakuvuta itoboe. Ccm wanaogopa kutawala watu walioshiba.
Ulaya utapiga tempo utasoma utasaka ujuzi wako.
 
USA ni uaminifu wako tu au upate mdhamini anaetambulika tempo za black market zipo nyingi Sana hizi za kuajiriana bila mifumo ya serikali mfano kuna Mapakistani au Wahindi jioni wanaweka meza nje wanaakaanga vyakula unaweza ukaomba Kazi ya kuosha, kugawa, kupika ni wewe tu dola 10 kwa saa, ukitoka hapo unaenda majumba ya sinema au casino kufanya Kazi za kusafisha huko huko unaweza ukawa unaokota vidola dola vilivyoanguka chini ya siti au yard za magari unaomba Kazi ya kusafisha magari unakamata dola yako 50 unalala, Asubui unaomba Kazi za kuzoa takataka kwenye kampuni za magari taka, au usafi kwenye majengo, au kuosha vyombo, kubeba mabox, au unaweza ukajidhamini kampuni za magari ya ukaomba wakulipie kozi ya udereva kwa makubaliano ukimaliza tu wanakuajiri then wanakata pesa yao kwenye mshahara, au ukachume mboga na matunda au ukalishe mifugo. Nje ukitaka kufanikiwa wekeza Sana kwenye uaminifu usipende shortcut itakula kwako wakikudaka wanakurudisha bongo na wanakublock sahau tena kurudi nchi hio. Bongo ni rahisi Sana kutoboa kupitia Black market fursa zipo tele, kwa njia halali ni ngumu Sana sababu ya mifumo ya kukubana usitoboe sababu watawala hawana confidence ya kuwatawala watu walioshiba so ni lazima wengi wawe masikini Ili iwe rahisi kuwatawala. Mfano tungexport dada zetu wakafanye Kazi uarabuni kwa kuwatengenezea mifumo ya kuwalinda kama walivyofanya nchi ya Filipini wakawa salama kuliko hii ya kuwazuia then huwezi waajiri wanabakia kudanga na kuchakaa tu unakuta mtoto anamzaa mtoto mwingine kwa cycle hio hio.
 
Wakenya na wacongo wao kitambo Sana vijana wao wameanza haraka za kusaka maisha nje ya nchi mbongo akitoka Sana South Africa kwenda kuwa chokoraa. Nenda KILA nchi si Serbia, venezuela, pakistan, filipini utamkuta Mkenya au Mnigeria anapambana.
Mambo yakiwa magumu ndani nenda nje kapambane
 
USA ni uaminifu wako tu au upate mdhamini anaetambulika tempo za black market zipo nyingi Sana hizi za kuajiriana bila mifumo ya serikali mfano kuna Mapakistani au Wahindi jioni wanaweka meza nje wanaakaanga vyakula unaweza ukaomba Kazi ya kuosha, kugawa, kupika ni wewe tu dola 10 kwa saa, ukitoka hapo unaenda majumba ya sinema au casino kufanya Kazi za kusafisha huko huko unaweza ukawa unaokota vidola dola vilivyoanguka chini ya siti au yard za magari unaomba Kazi ya kusafisha magari unakamata dola yako 50 unalala, Asubui unaomba Kazi za kuzoa takataka kwenye kampuni za magari taka, au usafi kwenye majengo, au kuosha vyombo, kubeba mabox, au unaweza ukajidhamini kampuni za magari ya ukaomba wakulipie kozi ya udereva kwa makubaliano ukimaliza tu wanakuajiri then wanakata pesa yao kwenye mshahara, au ukachume mboga na matunda au ukalishe mifugo. Nje ukitaka kufanikiwa wekeza Sana kwenye uaminifu usipende shortcut itakula kwako wakikudaka wanakurudisha bongo na wanakublock sahau tena kurudi nchi hio. Bongo ni rahisi Sana kutoboa kupitia Black market fursa zipo tele, kwa njia halali ni ngumu Sana sababu ya mifumo ya kukubana usitoboe sababu watawala hawana confidence ya kuwatawala watu walioshiba so ni lazima wengi wawe masikini Ili iwe rahisi kuwatawala. Mfano tungexport dada zetu wakafanye Kazi uarabuni kwa kuwatengenezea mifumo ya kuwalinda kama walivyofanya nchi ya Filipini wakawa salama kuliko hii ya kuwazuia then huwezi waajiri wanabakia kudanga na kuchakaa tu unakuta mtoto anamzaa mtoto mwingine kwa cycle hio hio.
Ufafanuzi mzuri sana huu, asiekuelewa basi atakuwa karogwa ili asifikirie nje ya box kuhusu maisha yake.
Yan yeye aridhike kwa maisha ya dhiki anayoishi ili wachawi waendelee kumtumia hapa hapa nyumban.
 
uko sahihi mkuu...ila tatizo linakuja hivi...unadhania uko sahihi tuuuu!! Km unavo fikiri...hilo ni kosa mjomba wangu alienda huko akiwa na 50 yrs! Wanae wakamfuata hukoo!! Wakabuni miradi waliyo buni asa hivi wako mbali mnoo! Hawataki kurudi...amini nakwambia misaada ya kuja kwenu africa miaka ijayo itakuwa inapitia mikononi mwa diasporas weusi....walio njema.
Hata hapo nyumbani wapo walioshindwa mbaya..kiasi na zaidi...lkn pia kufirisika ukiwa hapo nyumbani ni rahisi zaidi kuliko kufilisika majuu.....hata usemeje majuu ni majuu tu...km ukiamini nyota itakuwakia....huwezi nambia nikskuelewa eti maisha ya manzese/mbagala/kamunyonge sijui mahurunga kuleee! Eti ni bora kuliko majuu....hata km unaingiza million moja kwa siku ukiwa mtwara.na mie kule canada naingiza elfu 20. Bado canada ni Bora sana tuuu. Ndo tulivyo huku......hatujiiii....kaeni kwa kutulia na vihepe vyenu...ingiza hela zenu muingizavyo lkn hatutaki kurudi....huko tutakuja kutembea tuuu.
Mkuu maelezo yako mazuri, ila ndugu zetu ni wagumu wa kuelewa. Washazoea maisha ya dhiki, yan kila asubuhi vipande viwili vya mihogo na kombe kubwa la maji, usiku miguu ya kuu na nusu ya unga wa ugali wanaona maisha wameyaweza.
 
Ulaya kwa sasa hakuna jipya,

Kama una shughuli zako zinazokuingizia kipato hata 20000 kwa siku,

Nakushauri endelea na maisha ya bongo.

Kwa sasa fursa zipo
Japan.
South Korea,
Canada,
Marekani.
Australia,

Maisha ya ulaya kwa sasa ni kupoteza muda wako bure.
Acha ushamba
 
Kwanini ukahangaike ugenini kama umeshindwa kupambana uwanja wa nyumbani???
Samia kazaliwa Makunduchi ila yupo Magogoni au Chamwino kila siku, Sasa wewe baki kwenu Matombo huko, ukisema hapa ni nchini kwetu na sisi tutakuambia hapa na barani kwetu au Duniani kwetu, maana yake kila ardhi iliyopo humu duniani ni ya kila mtu na wewe kuchagua wapi ukatafutie chakula chako
 
Samia kazaliwa Makunduchi ila yupo Magogoni au Chamwino kila siku, Sasa wewe baki kwenu Matombo huko, ukisema hapa ni nchini kwetu na sisi tutakuambia hapa na barani kwetu au Duniani kwetu, maana yake kila ardhi iliyopo humu duniani ni ya kila mtu na wewe kuchagua wapi ukatafutie chakula chako
Yan inasikitisha sana kuona baadhi ya wabongo wenzetu wanang'ang'ania kuishi kama samaki. Kwamba maisha yao yote wao waishi majini tu.
 
Yan inasikitisha sana kuona baadhi ya wabongo wenzetu wanang'ang'ania kuishi kama samaki. Kwamba maisha yao yote wao waishi majini tu.
Mkuu nimewaza kitu...kuna watu wako negative sana..wivu.roho mbaya.wavivu kujituma...roho za kichawi nk!! Wanaumia mnooo wenzao waliokuwa maskini wakiishi vizuri. Zaidi yao roho zinawauma sana...wanatamani mfanane tuuuu.au wao pekee wawe juu.. muwatumikie tuu...hao ndo wanakazana kuishi bongo wakiamini ni kutamu....Mungu alisema zaeni mkaijaze nchi....siyo mkaijaze Tanzania.
Watu wengine wana roho za kutu sana.
 
Mkuu nimewaza kitu...kuna watu wako negative sana..wivu.roho mbaya.wavivu kujituma...roho za kichawi nk!! Wanaumia mnooo wenzao waliokuwa maskini wakiishi vizuri. Zaidi yao roho zinawauma sana...wanatamani mfanane tuuuu.au wao pekee wawe juu.. muwatumikie tuu...hao ndo wanakazana kuishi bongo wakiamini ni kutamu....Mungu alisema zaeni mkaijaze nchi....siyo mkaijaze Tanzania.
Watu wengine wana roho za kutu sana.
🤣🤣🤣🤣 Japo nimecheka lkn mengi uliyoandika ndio ukweli wenyewe. Kinachofanya baadhi ya wabongo kushindwa kutoka kwanza ni:
1) UVIVU - wabongo wengi ni wavivu, wamezoea kushinda vijiweni kupiga zogo kuhusu maisha ya kina babutale na Diamond, Yanga na Simba, Siasa na kamari. Afu wakitoka hapo waende nyumban kwa shemej zao walipoolewa dada zao au kwao wakasubiri ugali wa bure. Watu wa aina hii wanajua fika kwamba wakienda nje watapata shida kutokana na lifestyle walioizoea.

2)ENGLISH - wabongo wengi wanaamini kwamb kutokujua lugha kutawakwamisha ugenini, kwani watakapopata kazi sehemu hawajui wataanzaje kuwasiliana na wenzao au maboss wao katika maeneo ya kazi ikiwa hata salam pekee inawashinda.

3) UOGA - wabongo wengi ni waoga, yani utasikia mtu anakwambia nikienda nje nitapokewa na nani au nitaishi vipi. Hawajui kwamba mwanaume ni sawa sawa na shina la muhogo popote utapolitupa litaota tu.
Hata hao wenzetu huwa wanakwenda bila kujali kuwa wanakwenda wapi, kwa nani na kwa njia ipi, lkn matokeo yake huwa wanafanikiwa kufika na kuanza maisha ya ndoto zao.
Ila kwa wabongo hilo haliwezekani wanashindwa hata na waburundi.
 
USA ni uaminifu wako tu au upate mdhamini anaetambulika tempo za black market zipo nyingi Sana hizi za kuajiriana bila mifumo ya serikali mfano kuna Mapakistani au Wahindi jioni wanaweka meza nje wanaakaanga vyakula unaweza ukaomba Kazi ya kuosha, kugawa, kupika ni wewe tu dola 10 kwa saa, ukitoka hapo unaenda majumba ya sinema au casino kufanya Kazi za kusafisha huko huko unaweza ukawa unaokota vidola dola vilivyoanguka chini ya siti au yard za magari unaomba Kazi ya kusafisha magari unakamata dola yako 50 unalala, Asubui unaomba Kazi za kuzoa takataka kwenye kampuni za magari taka, au usafi kwenye majengo, au kuosha vyombo, kubeba mabox, au unaweza ukajidhamini kampuni za magari ya ukaomba wakulipie kozi ya udereva kwa makubaliano ukimaliza tu wanakuajiri then wanakata pesa yao kwenye mshahara, au ukachume mboga na matunda au ukalishe mifugo. Nje ukitaka kufanikiwa wekeza Sana kwenye uaminifu usipende shortcut itakula kwako wakikudaka wanakurudisha bongo na wanakublock sahau tena kurudi nchi hio. Bongo ni rahisi Sana kutoboa kupitia Black market fursa zipo tele, kwa njia halali ni ngumu Sana sababu ya mifumo ya kukubana usitoboe sababu watawala hawana confidence ya kuwatawala watu walioshiba so ni lazima wengi wawe masikini Ili iwe rahisi kuwatawala. Mfano tungexport dada zetu wakafanye Kazi uarabuni kwa kuwatengenezea mifumo ya kuwalinda kama walivyofanya nchi ya Filipini wakawa salama kuliko hii ya kuwazuia then huwezi waajiri wanabakia kudanga na kuchakaa tu unakuta mtoto anamzaa mtoto mwingine kwa cycle hio hio.
Mungu akutunze
 
Ulaya kwa sasa hakuna jipya,

Kama una shughuli zako zinazokuingizia kipato hata 20000 kwa siku,

Nakushauri endelea na maisha ya bongo.

Kwa sasa fursa zipo
Japan.
South Korea,
Canada,
Marekani.
Australia,

Maisha ya ulaya kwa sasa ni kupoteza muda wako bure.
20000 kwa bongo ungeweza kupata 1ml ya kibongo ukiwa mbele issue ni malengo tu... huwezi niambia kibarua wa bongo ni sawa na wa ulaya hata mara moja hii siyo kweli kabisa... kuliko ukae bongo bila kazi hata kama ni graduate bora uende ulaya ukabebe box kwa muda upate mtaji,,,bongo pagumu
 
20000 kwa bongo ungeweza kupata 1ml ya kibongo ukiwa mbele issue ni malengo tu... huwezi niambia kibarua wa bongo ni sawa na wa ulaya hata mara moja hii siyo kweli kabisa... kuliko ukae bongo bila kazi hata kama ni graduate bora uende ulaya ukabebe box kwa muda upate mtaji,,,bongo pagumu
Hata bongo ukiwa na malengo unatoboa tu mkuu.
 
ok uzi bora na mtamu sana
kwa watu wanaotaka kufanya na kuweza kutoboa ulaya hii ni fursa bora sana na muhimu kwa muda na wakati husika,
Maana ukitaka kutoboa inabidi kweli uikane nafsi wataalam wanasema mafanikio ,uhai na umasikin ni vitu vinavyo fatana sana ..
Wanaotaka kwenda kutoboa mbele kwa njia hii ni cheap sana na ya fasta sana asa ww kama mwanaume kweli unashindwaje kujaribu kitu ambacho unauhakika utatimiza ndoto zako ujinga wetu unataka uende ulaya afu autaki kazi unataka ustarehe kwenye nchi za watu piga kazi kama kichaaa ata ukiwa cheap Labour maana hyo pesa ukitua nayo bongo pia ni pesa nyingi.. utakua umeenda kutafuta mtaji ,.bongo ata kazi ya kufagia barabara inahitaj connection bongo Fursa ni chache sana.
Ulaya fursa nyingi na unaweza tumia iyo fusta kujikusanyia kipato chako na kurud bongo mwanaume usiogope kuteseka

Green card rotterry
hii pia ni mchongo sana lakin inahitaj pesa zaid na muda afu pia hii kitu inahitaj sana wasomii na watu wenye skills kubwa kwenda katika nchi husika so wabongo wengi shule zetu ni hafifu lakn kwa wenye elimu na kipato fulan kwao ni fursa tosha na nirahisi kwenda US na kufanya maisha sasa na ww na degree yako na aunakaz bongo nenda kajaribu bahati yakoo[emoji1544][emoji1545]
 
Back
Top Bottom