Njia pekee nyepesi ya kuingia Ulaya kwa wale wanaohitaji kujilipua ni hii...

Njia pekee nyepesi ya kuingia Ulaya kwa wale wanaohitaji kujilipua ni hii...

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Habari zenu wana JF wenzangu,

Wakati wabongo wakiwa busy kulaumiana kuhusu Panya Road, tozo, kuendekeza siasa uchwara na kuangalia video za porn ili baadae wakajichue.

Kwa upande wa Burundi maelfu kwa maelfu wanazidi kujilipua katika nchi mbali mbali za Ulaya kupitia Serbia.

Kinachotakiwa ni wewe kuwa na passport ya Burundi na 1300 usd mkononi tu.

Warundi wanazidi kumiminika ulaya kupitia njia hiyo, na nasikia kuna baadhi ya wabongo ambao wamekuwa wakivuka boda kuingia Burundi, wakishafika huko wanatafuta passport za kirundi za kusafiria kwa njia wanazozijua wao na hatimae kuondoka.

Huu ni mtonyo na tayari nimeshashuhudia baadhi ya warundi wakirudi kwao ili kwenda kujiandaa na mipango hiyo ya safari.
Kwahiyo kama kuna mbongo yoyote anaujua mchongo huu basi aje aeleze na yeye mawili matatu anayoyajua kuhusu safari hizi.
Hapo chini ni video ya warundi walioingia Serbia kupitia airport ya nchi hiyo.
Screenshot_20220926-220700.jpg
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Wakati wabongo wakiwa busy kulaumiana kuhusu panya road, tozo na kuendekeza siasa uchwara.
Kwa upande wa Burundi maelfu kwa maelfu wanazidi kujilipua katika nchi mbali mbali za ulaya kupitia Serbia.
Kinachotakiwa ni wewe kuwa na passport ya Burundi na 1300 usd mkononi tu.
Warundi wanazidi kumiminika ulaya kupitia njia hiyo, na nasikia kuna baadhi ya wabongo ambao wamekuwa wakivuka boda kuingia Burundi, wakishafika huko wanatafuta passport za kirundi za kusafiria kwa njia wanazozijua wao na hatimae kuondoka.

Huu ni mtonyo na tayari nimeshashuhudia baadhi ya warundi wakirudi kwao ili kwenda kujiandaa na mipango hiyo ya safari.
Kwahiyo kama kuna mbongo yoyote anaujua mchongo huu basi aje aeleze na yeye mawili matatu anayoyajua kuhusu safari hizi.
Hapo chini ni video ya warundi walioingia Serbia kupitia airport ya nchi hiyo.
Hii ni ngumu kwa mbongo asiejuwa atafikiwa wapi huko Burundi hadi mipango yake iweze kutimia, unless awe na mtu wa kumpokea na kumuweka kwa muda wote atakaokuwa pale.
 
Ulaya kwa sasa hakuna jipya,

Kama una shughuli zako zinazokuingizia kipato hata 20000 kwa siku,

Nakushauri endelea na maisha ya bongo.

Kwa sasa fursa zipo
Japan.
South Korea,
Canada,
Marekani.
Australia,

Maisha ya ulaya kwa sasa ni kupoteza muda wako bure.
 
Kwanini ukahangaike ugenini kama umeshindwa kupambana uwanja wa nyumbani???
Hata wewe unaweza kuwa na ndugu yako ambae alishindwa maisha kijijini, lkn alipokuja mjini akatusua.

Kwahiyo na wengine ni hivyo hivyo kuna watu walishindwa kufanikiwa kwenye nchi zao, lkn walipotoka nje ya nchi zao wakafanikiwa.
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Wakati wabongo wakiwa busy kulaumiana kuhusu panya road, tozo na kuendekeza siasa uchwara.
Kwa upande wa Burundi maelfu kwa maelfu wanazidi kujilipua katika nchi mbali mbali za ulaya kupitia Serbia.
Kinachotakiwa ni wewe kuwa na passport ya Burundi na 1300 usd mkononi tu.
Warundi wanazidi kumiminika ulaya kupitia njia hiyo, na nasikia kuna baadhi ya wabongo ambao wamekuwa wakivuka boda kuingia Burundi, wakishafika huko wanatafuta passport za kirundi za kusafiria kwa njia wanazozijua wao na hatimae kuondoka.

Huu ni mtonyo na tayari nimeshashuhudia baadhi ya warundi wakirudi kwao ili kwenda kujiandaa na mipango hiyo ya safari.
Kwahiyo kama kuna mbongo yoyote anaujua mchongo huu basi aje aeleze na yeye mawili matatu anayoyajua kuhusu safari hizi.
Hapo chini ni video ya warundi walioingia Serbia kupitia airport ya nchi hiyo.
 
Kama hauna mwenyeji huko .Na winter hii huko ni balaa.
Ya ni kweli kama hauna mwenyeji ni shida. Lkn hawa warundi wao wakishafika huko wanaomba hifadhi ya ukimbizi kwahiyo kila atakaekubaliwa kupewa hifadhi ya kikimbizi atapewa mahali salama pa kuishi, pia swala la malazi, mavazi, maradhi, kula nk ni majukumu ya UN na umoja wa ulaya.
 
Habari zenu wana JF wenzangu,

Wakati wabongo wakiwa busy kulaumiana kuhusu Panya Road, tozo na kuendekeza siasa uchwara.

Kwa upande wa Burundi maelfu kwa maelfu wanazidi kujilipua katika nchi mbali mbali za Ulaya kupitia Serbia.

Kinachotakiwa ni wewe kuwa na passport ya Burundi na 1300 usd mkononi tu.

Warundi wanazidi kumiminika ulaya kupitia njia hiyo, na nasikia kuna baadhi ya wabongo ambao wamekuwa wakivuka boda kuingia Burundi, wakishafika huko wanatafuta passport za kirundi za kusafiria kwa njia wanazozijua wao na hatimae kuondoka.

Huu ni mtonyo na tayari nimeshashuhudia baadhi ya warundi wakirudi kwao ili kwenda kujiandaa na mipango hiyo ya safari.
Kwahiyo kama kuna mbongo yoyote anaujua mchongo huu basi aje aeleze na yeye mawili matatu anayoyajua kuhusu safari hizi.
Hapo chini ni video ya warundi walioingia Serbia kupitia airport ya nchi hiyo.

Hapa kuna ukweli kidogo. Kuna dada mmoja yupo Sweden ni Mtanzania ila aliniambia alikuja Ulaya kwa njia hii na yupo mpaka leo.
 
Back
Top Bottom