Njia rahisi inayoweza kumsaidia mwanamke aliyepo kwenye uchumba sugu, kupata ndoa

Njia rahisi inayoweza kumsaidia mwanamke aliyepo kwenye uchumba sugu, kupata ndoa

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Wadada wenye uchumba sugu.

Kuna wadada wapo kwenye mahusiano zaidi ya miaka kadhaa, na wanatamani waolewe; lakini wanaume walionao bado wanawapiga dana dana.

Njia rahisi inayoweza kukusaidia, mwanaume wako afanye maamuzi ya haraka katika kukuoa, fanya hivi:-
  • Andaa bajeti ndogo ya laki mbili n.k
  • Mtoe 'out' mpenzi wako
  • Tafuta eneo tulivu, inaweza kuwa hotel yenye eneo kubwa, au sehemu yoyote wanazotoa huduma zote za chakula, vinywaji, malazi n.k
  • Tafuta meza ya nje iliyojitenga, yaani muwe wenyewe tu au kuwe na umbali kufikia meza nyingine.
  • Itakuwa vizuri zaidi kama itakuwa ni usiku
  • Agiza vinywaji vingi ili muhudumu asiwe anakuja mara kwa mara kwenye meza yenu.
  • Pia hakikisha umevaa nguo nzuri, inayomtamanisha mpenzi wako.
  • Pigeni stori za kawaida, ila mkifika chupa ya nne anza kuongea kwa hisia kwa kumuonyesha umuhimu wa mpenzi wako katika maisha yako.
  • Mpigie magoti huku ukitoa maneno ya mahaba ukiigiza kama unataka kulia, na kumuomba aweze kukusitiri katika ndoa.
  • Mlilie mpaka yeye mwenyewe aanze kulengwa na machozi, na hatimaye yeye mwenyewe atakuinua na kukumbatia, na atakupa jibu lako.
  • Baada ya kufanya hivyo, deka kama mtoto mdogo ikiwezekana uwe unamkalia kalia, huku mkiendelea kupata vinywaji.
  • Mkimaliza hapo, nendeni chumbani mkapumzike.
  • Kesho yake anza kutekeleza mlichoafikiana.
  • Baada ya hapo nawatakia ndoa njema.
 
Hapo unataka wadada wagegedwe tuu huku wao wakidhamini pambano🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa sababu huko nyuma walishayafanya hayo, kwa sasa inabidi apiganie kumiliki koloni kihalali.
 
Wadada wenye uchumba sugu.

Kuna wadada wapo kwenye mahusiano zaidi ya miaka kadhaa, na wanatamani waolewe; lakini wanaume walionao bado wanawapiga dana dana.

Njia rahisi inayoweza kukusaidia, mwanaume wako afanye maamuzi ya haraka katika kukuoa, fanya hivi:-
  • Andaa bajeti ndogo ya laki mbili n.k
  • Mtoe 'out' mpenzi wako
  • Tafuta eneo tulivu, inaweza kuwa hotel yenye eneo kubwa, au sehemu yoyote wanazotoa huduma zote za chakula, vinywaji, malazi n.k
  • Tafuta meza ya nje iliyojitenga, yaani muwe wenyewe tu au kuwe na umbali kufikia meza nyingine.
  • Itakuwa vizuri zaidi kama itakuwa ni usiku
  • Agiza vinywaji vingi ili muhudumu asiwe anakuja mara kwa mara kwenye meza yenu.
  • Pia hakikisha umevaa nguo nzuri, inayomtamanisha mpenzi wako.
  • Pigeni stori za kawaida, ila mkifika chupa ya nne anza kuongea kwa hisia kwa kumuonyesha umuhimu wa mpenzi wako katika maisha yako.
  • Mpigie magoti huku ukitoa maneno ya mahaba ukiigiza kama unataka kulia, na kumuomba aweze kukusitiri katika ndoa.
  • Mlilie mpaka yeye mwenyewe aanze kulengwa na machozi, na hatimaye yeye mwenyewe atakuinua na kukumbatia, na atakupa jibu lako.
  • Baada ya kufanya hivyo, deka kama mtoto mdogo ikiwezekana uwe unamkalia kalia, huku mkiendelea kupata vinywaji.
  • Mkimaliza hapo, nendeni chumbani mkapumzike.
  • Kesho yake anza kutekeleza mlichoafikiana.
  • Baada ya hapo nawatakia ndoa njema.
Unawafundisha ukibaka?Wenyewe wamejiandaa?
 
Wadada wenye uchumba sugu.

Kuna wadada wapo kwenye mahusiano zaidi ya miaka kadhaa, na wanatamani waolewe; lakini wanaume walionao bado wanawapiga dana dana.

Njia rahisi inayoweza kukusaidia, mwanaume wako afanye maamuzi ya haraka katika kukuoa, fanya hivi:-
  • Andaa bajeti ndogo ya laki mbili n.k
  • Mtoe 'out' mpenzi wako
  • Tafuta eneo tulivu, inaweza kuwa hotel yenye eneo kubwa, au sehemu yoyote wanazotoa huduma zote za chakula, vinywaji, malazi n.k
  • Tafuta meza ya nje iliyojitenga, yaani muwe wenyewe tu au kuwe na umbali kufikia meza nyingine.
  • Itakuwa vizuri zaidi kama itakuwa ni usiku
  • Agiza vinywaji vingi ili muhudumu asiwe anakuja mara kwa mara kwenye meza yenu.
  • Pia hakikisha umevaa nguo nzuri, inayomtamanisha mpenzi wako.
  • Pigeni stori za kawaida, ila mkifika chupa ya nne anza kuongea kwa hisia kwa kumuonyesha umuhimu wa mpenzi wako katika maisha yako.
  • Mpigie magoti huku ukitoa maneno ya mahaba ukiigiza kama unataka kulia, na kumuomba aweze kukusitiri katika ndoa.
  • Mlilie mpaka yeye mwenyewe aanze kulengwa na machozi, na hatimaye yeye mwenyewe atakuinua na kukumbatia, na atakupa jibu lako.
  • Baada ya kufanya hivyo, deka kama mtoto mdogo ikiwezekana uwe unamkalia kalia, huku mkiendelea kupata vinywaji.
  • Mkimaliza hapo, nendeni chumbani mkapumzike.
  • Kesho yake anza kutekeleza mlichoafikiana.
  • Baada ya hapo nawatakia ndoa njema.
Mtu apige magoti mpaka kulia kisa kuomba ndoa 😀😀😀 kesho na kesho kuwa mwanaume aanze kusema kwanza sikutaka kukuoa nilikuonea huruma wooiiii😀😀😀

Mtu kama ameamua kukaa kwenye uchumba sugu means anajua anachokitaka, muda ukifika atakipata kama ni ndoa au kuachwa… kwanza wanaume wengi wanakua bored na habari ya utanioa lini utanioa lini kwao inasound kama usumbufu hivi
 
Back
Top Bottom