Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Ikitokea kuwa sugu, tumia njia iliyoainishwa
Hauwezi kuwa sugu na ikitokea bas ntakua nimependa mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitokea kuwa sugu, tumia njia iliyoainishwa
Ukifika miaka 40 utakuwa unalazimisha sana
Ajali unayoianzisha mwenyewe? Nitakufaje?😂😂😂Ajali kama ajali nyingine
😬😂😂😂Ajali unayoianzisha mwenyewe? Nitakufaje?😂😂😂
Ameonesha ananijali,kunipenda na kuniheshimu.Mpango wa ndoa unaanza mara moja.
Hahahahahahah
Naam!Mwendo wa kupata mawifi na mashemeji.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]wacha tutegemee ndoa nyingi bas baada ya uzi huu
Tupe mautundu yako, na wengine waweze kujifunzaHauwezi kuwa sugu na ikitokea bas ntakua nimependa mwenyewe
Ndoa ina utamu wakeYaani shida zote za nini ili tu kupata title NDOA [emoji3][emoji3]sio shida zangu
Endelea hivyo ipo siku utapata ndoa yako.Mtu apige magoti mpaka kulia kisa kuomba ndoa [emoji3][emoji3][emoji3] kesho na kesho kuwa mwanaume aanze kusema kwanza sikutaka kukuoa nilikuonea huruma wooiiii[emoji3][emoji3][emoji3]
Mtu kama ameamua kukaa kwenye uchumba sugu means anajua anachokitaka, muda ukifika atakipata kama ni ndoa au kuachwa… kwanza wanaume wengi wanakua bored na habari ya utanioa lini utanioa lini kwao inasound kama usumbufu hivi
Ndoa ina utamu wake
Kuna baadhi ni wagumu kulianzisha, wakishapata uhakika wa kumwagia ndani, hawakumbuki ndoaIla si ya kuanza kuulizana babu wee kuna raha mwanaume kuanza mwenyewe bwana [emoji4][emoji4][emoji4]
😀😀😀Endelea hivyo ipo siku utapata ndoa yako.
Swali linaboa
No way…. Trust me muda ukifika kila kitu kinaflow bhanKuna baadhi ni wagumu kulianzisha, wakishapata uhakika wa kumwagia ndani, hawakumbuki ndoa
Wapo huku wanagombania waume za watu, kwa kuzembea mwanzoniNo way…. Trust me muda ukifika kila kitu kinaflow bhan
Itumie jioni ya leo; jumamosi ijayo tuje kwenye harusiLaki mbili hii hii kweli nikaifanyie iyo anasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alafu anakuja kuoa aliempikia ugali na matembele chukuchuku[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waume za watu wenyewe ndo hao waliopigiwa magoti kuombwa ndoa saizi wanahaha nje na michepuko😀😀😀😀Wapo huku wanagombania waume za watu, kwa kuzembea mwanzoni