Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hivi leo ukiniuliza nilimpataje mke wangu,sijui.It's all about some good,good love!❤️❤️❤️😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi leo ukiniuliza nilimpataje mke wangu,sijui.It's all about some good,good love!❤️❤️❤️😂😂😂😂
Really?Mtu apige magoti mpaka kulia kisa kuomba ndoa 😀😀😀 kesho na kesho kuwa mwanaume aanze kusema kwanza sikutaka kukuoa nilikuonea huruma wooiiii😀😀😀
Mtu kama ameamua kukaa kwenye uchumba sugu means anajua anachokitaka, muda ukifika atakipata kama ni ndoa au kuachwa… kwanza wanaume wengi wanakua bored na habari ya utanioa lini utanioa lini kwao inasound kama usumbufu hivi
Lakini,kujaribu si dhambi.Baada ya hayo yote mwanaume lazima atamchukulia poa tu,,, yeye ataamini kwamba ulikuwa anafanya hayo yote kwa sababu ya ulevi tu Wala hukuwa unamaanisha.
Mkuu haya Mambo hayanaga fomyula hata kidogo.
Yaan we saizi mpenzi wako aanze kukuomba umuoe we hujui kama unatakiwa kumuoa, ni kweli unahitaji kukumbushwa? Mpaka upigiwe magoti 🥺Really?
Jaribu kufanya majaribio, uje utupe ushuhudaMtu apige magoti mpaka kulia kisa kuomba ndoa 😀😀😀 kesho na kesho kuwa mwanaume aanze kusema kwanza sikutaka kukuoa nilikuonea huruma wooiiii😀😀😀
Mtu kama ameamua kukaa kwenye uchumba sugu means anajua anachokitaka, muda ukifika atakipata kama ni ndoa au kuachwa… kwanza wanaume wengi wanakua bored na habari ya utanioa lini utanioa lini kwao inasound kama usumbufu hivi
Nakua namdekea.Hadi anibembeleze.Ni vinogesho vya uchumba tu.Ila sipendi kumuumiza nafsi.Yaan we saizi mpenzi wako aanze kukuomba umuoe we hujui kama unatakiwa kumuoa, ni kweli unahitaji kukumbushwa? Mpaka upigiwe magoti 🥺
Sasa hawa wengine, wanafikiri ndoa ni kitu rahisi; wanafikiri ni kuomba hela na kwenda saluniHivi leo ukiniuliza nilimpataje mke wangu,sijui.It's all about some good,good love!❤️❤️❤️😂😂😂😂
Mwanamke ananafasi kubwa ya kumshawishi mpenzi wakeBaada ya hayo yote mwanaume lazima atamchukulia poa tu,,, yeye ataamini kwamba ulikuwa anafanya hayo yote kwa sababu ya ulevi tu Wala hukuwa unamaanisha.
Mkuu haya Mambo hayanaga fomyula hata kidogo.
Sina uchumba sugu mieJaribu kufanya majaribio, uje utupe ushuhuda
Ukipigiwa magoti kuomba uoe utaoa 😀😀Nakua namdekea.Hadi anibembeleze.Ni vinogesho vya uchumba tu.Ila sipendi kumuumiza nafsi.
Unatakiwa unyenyekee, ili uje uitwe mrs...Yaan we saizi mpenzi wako aanze kukuomba umuoe we hujui kama unatakiwa kumuoa, ni kweli unahitaji kukumbushwa? Mpaka upigiwe magoti 🥺
Ikitokea kuwa sugu, tumia njia iliyoainishwaSina uchumba sugu mie
No way out.. kama ni wa kuoa atanioa tu na kama sio wala sio shida zangu ila siwezi kuforce mwanaume anioeUnatakiwa unyenyekee, ili uje uitwe mrs...
Ukifika miaka 40 utakuwa unalazimisha sanaNo way out.. kama ni wa kuoa atanioa tu na kama sio wala sio shida zangu ila siwezi kuforce mwanaume anioe
Mhenga mwenzangu nimekuelewa😬Shida yote ya nini
Wanatakiwa wawe na ndoo,dumu,na chupa
Atayewahi anapewa jimbo
Ameonesha ananijali,kunipenda na kuniheshimu.Mpango wa ndoa unaanza mara moja.Ukipigiwa magoti kuomba uoe utaoa 😀😀
Mumeanza?Mtachinjwa yakijulikana!Mhenga mwenzangu nimekuelewa😬
Ajali kama ajali nyingineMumeanza?Mtachinjwa yakijulikana!