Njia rahisi inayoweza kumsaidia mwanamke aliyepo kwenye uchumba sugu, kupata ndoa

Njia rahisi inayoweza kumsaidia mwanamke aliyepo kwenye uchumba sugu, kupata ndoa

Haina aja ya kuangaika sana, ww muite man wako mchane direct kuwa sasa unaitaji kujenga familia na mji wako je upo tayari kubeba jukum hilo? Kama haupo tayari bas kila mtu ashike njia yake kuanzia sasa nitaambatana na mtu ambaye tunafanana nae nia na maona.
 
Waume za watu wenyewe ndo hao waliopigiwa magoti kuombwa ndoa saizi wanahaha nje na michepuko😀😀😀😀

Wake za watu wenyewe ndo hao walioolewa lakini hawana hisia na waume zao 😀
Kinachowatoa wanaume nje, ndani wanapimiwa magoli....wakati nje wanapewa mpaka wachoke
 
Tobaaaaah maisha yanaenda kasi mnooo.
Sahivi ndoa inanunuliwa? Khaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Laki mbili hii hii kweli nikaifanyie iyo anasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alafu anakuja kuoa aliempikia ugali na matembele chukuchuku[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] anaeza kuja oa ambae hajawah hata mpelekea leso ya buku
 
Ndoa za kulazimisha hizi mwisho mwake huwa majanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama ni wako ni wako tuu na atakuoa, ukiona hapaeleweki unaanzisha tu, waoaji wapo wengi tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom