Njia rahisi inayoweza kumsaidia mwanamke aliyepo kwenye uchumba sugu, kupata ndoa

Njia rahisi inayoweza kumsaidia mwanamke aliyepo kwenye uchumba sugu, kupata ndoa

Daah...! Kuna mwamba amemvumbika bint wa watu toka enzi za chuo 2013-2016 hadi muda huu na type hapa tupo tunasubiri ndoa ya hawa wapendanao, maana karibia robo ya maclassmates tayari tumeshafunga ndoa na ukimuliza mwamba anadai bado hajajipamba.
 
Daah...! Kuna mwamba amemvumbika bint wa watu toka enzi za chuo 2013-2016 hadi muda huu na type hapa tupo tunasubiri ndoa ya hawa wapendanao, maana karibia robo ya maclassmates tayari tumeshafunga ndoa na ukimuliza mwamba anadai bado hajajipamba.
Mwambie asome uzi huu
 
Mtu kama ameamua kukaa kwenye uchumba sugu means anajua anachokitaka, muda ukifika atakipata kama ni ndoa au kuachwa… kwanza wanaume wengi wanakua bored na habari ya utanioa lini utanioa lini kwao inasound kama usumbufu hivi

Sio ina sound kama usumbufu,,, huo ni U S U M B U F U
 
Back
Top Bottom