Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kummmmk ndoa imekuwa AlmasWadada wenye uchumba sugu.
Kuna wadada wapo kwenye mahusiano zaidi ya miaka kadhaa, na wanatamani waolewe; lakini wanaume walionao bado wanawapiga dana dana.
Njia rahisi inayoweza kukusaidia, mwanaume wako afanye maamuzi ya haraka katika kukuoa, fanya hivi:-
- Andaa bajeti ndogo ya laki mbili n.k
- Mtoe 'out' mpenzi wako
- Tafuta eneo tulivu, inaweza kuwa hotel yenye eneo kubwa, au sehemu yoyote wanazotoa huduma zote za chakula, vinywaji, malazi n.k
- Tafuta meza ya nje iliyojitenga, yaani muwe wenyewe tu au kuwe na umbali kufikia meza nyingine.
- Itakuwa vizuri zaidi kama itakuwa ni usiku
- Agiza vinywaji vingi ili muhudumu asiwe anakuja mara kwa mara kwenye meza yenu.
- Pia hakikisha umevaa nguo nzuri, inayomtamanisha mpenzi wako.
- Pigeni stori za kawaida, ila mkifika chupa ya nne anza kuongea kwa hisia kwa kumuonyesha umuhimu wa mpenzi wako katika maisha yako.
- Mpigie magoti huku ukitoa maneno ya mahaba ukiigiza kama unataka kulia, na kumuomba aweze kukusitiri katika ndoa.
- Mlilie mpaka yeye mwenyewe aanze kulengwa na machozi, na hatimaye yeye mwenyewe atakuinua na kukumbatia, na atakupa jibu lako.
- Baada ya kufanya hivyo, deka kama mtoto mdogo ikiwezekana uwe unamkalia kalia, huku mkiendelea kupata vinywaji.
- Mkimaliza hapo, nendeni chumbani mkapumzike.
- Kesho yake anza kutekeleza mlichoafikiana.
- Baada ya hapo nawatakia ndoa njema.
SawaKaa kwa utulivu basi nilikuwa nachangamsha genge
Nikopeshe 100kUnamkopesha tu kwenye ndoa nyie ni mwili mmoja, halafu siku hizi mmerahisha wenyewe na mambo yenu ya haki sawa yaani 50/50.
Kama ikiwezeka wewe unalipa nusu na yeye nusu na kama hana nusu unamkopesha mwenzio,ili mfunge ndoa ndoa ni jambo la heriiiiiii binti halihitaji kusubiri kama nafasi ipo malizeni mengine yata fahamika mbele kwa mbele...................😎😎😎😉😉
Tehetehetehe....tehe.
😂😂😂Hili suala ni sensitive sana mkuu huwezi ukakurupuka tu nakuanza kumpa mtu mwongozo na ushauri kuhusu ndoa zaidi atakuona unafuatilia maisha yake
Kwa mizinga hii, ndoa lazima ikimbieNikopeshe 100k
😀😀😀yote hiyo kisa alilia kuolewaKazi ipo
Hisia zitatoka wapi sasa wakati unakuta mumewe ana michepuko anajaza coster moja na bajaji mbili!!!
Ndoa sii shida yanguKwa mizinga hii, ndoa lazima ikimbie
ha ha ha shida yako ni niniNdoa sii shida yangu
Wadada wenye uchumba sugu.
Kuna wadada wapo kwenye mahusiano zaidi ya miaka kadhaa, na wanatamani waolewe; lakini wanaume walionao bado wanawapiga dana dana.
Njia rahisi inayoweza kukusaidia, mwanaume wako afanye maamuzi ya haraka katika kukuoa, fanya hivi:-
- Andaa bajeti ndogo ya laki mbili n.k
- Mtoe 'out' mpenzi wako
- Tafuta eneo tulivu, inaweza kuwa hotel yenye eneo kubwa, au sehemu yoyote wanazotoa huduma zote za chakula, vinywaji, malazi n.k
- Tafuta meza ya nje iliyojitenga, yaani muwe wenyewe tu au kuwe na umbali kufikia meza nyingine.
- Itakuwa vizuri zaidi kama itakuwa ni usiku
- Agiza vinywaji vingi ili muhudumu asiwe anakuja mara kwa mara kwenye meza yenu.
- Pia hakikisha umevaa nguo nzuri, inayomtamanisha mpenzi wako.
- Pigeni stori za kawaida, ila mkifika chupa ya nne anza kuongea kwa hisia kwa kumuonyesha umuhimu wa mpenzi wako katika maisha yako.
- Mpigie magoti huku ukitoa maneno ya mahaba ukiigiza kama unataka kulia, na kumuomba aweze kukusitiri katika ndoa.
- Mlilie mpaka yeye mwenyewe aanze kulengwa na machozi, na hatimaye yeye mwenyewe atakuinua na kukumbatia, na atakupa jibu lako.
- Baada ya kufanya hivyo, deka kama mtoto mdogo ikiwezekana uwe unamkalia kalia, huku mkiendelea kupata vinywaji.
- Mkimaliza hapo, nendeni chumbani mkapumzike.
- Kesho yake anza kutekeleza mlichoafikiana.
- Baada ya hapo nawatakia ndoa njema.
Kwa hiyo mkuu unaona Ni haki Mimi nimpeleke chobingo shemeji yako nianze kumpigia magoti nalia anioe!like serious????si unaweza nitwanga Kofi la ujinga ukinibamba huko?🙆😆Utakuwa hupati ndoa ..........ohooooooo shauri yako 😎😎😎.
Itabidi amchanganye na mahaba ya nje kwanzaNa sisi ambao sio walevi itakuwaje?,maana mtu huwezi kutoa ahadi kizembezembe kisa juice ya ukwaju
Mkamate Joannah hapo mtengeneze bondTusaidie tulio na usingo sugu
Shida zangu ni nyingi ila ndoa haimo kwenye shida zanguha ha ha shida yako ni nini
Ukiwa na shida nyingi, tutakukimbiaShida zangu ni nyingi ila ndoa haimo kwenye shida zangu
😀😀😀😀😀ni zangu ila zote zinahusiana na helaUkiwa na shida nyingi, tutakukimbia
Kama ni hivyo mume mmoja hawezi kukutosha, ndoa itakuwa ni ya mnyukano😀😀😀😀😀ni zangu ila zote zinahusiana na hela