Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji23][emoji23] bora ndoa niikoseKabisa ndo mwishowe akwambie sina mahari unajikuta unasema ntakupa au ntakuazima [emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] bora ndoa niikoseKabisa ndo mwishowe akwambie sina mahari unajikuta unasema ntakupa au ntakuazima [emoji3][emoji3]
utakosa utamu wa ndoa[emoji23][emoji23] bora ndoa niikose
😀😀😀😀😀mkigombana kidogo akwambie kwanza sikutaka kukuoa[emoji23][emoji23] bora ndoa niikose
Aah! wewe kama kuolewa kupo nitaolewa tu ila katu sitofanya uloandika hapo juu.utakosa utamu wa ndoa
Kwa kweli...hayo mambo ndio siyataki.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mkigombana kidogo akwambie kwanza sikutaka kukuoa
Tatizo unaongea kwa sauti sana, hujui waoaji wamo humuAah! wewe kama kuolewa kupo nitaolewa tu ila katu sitofanya uloandika hapo
[emoji1787] haya napunguza sautiTatizo unaongea kwa sauti sana, hujui waoaji wamo humu
Ndio maana inabidi kuwa na figa zaidi ya moja....lenye vigezo.Ndoa inautamu wake mkuu
Hizo bahati mbayaMumeanza?Mtachinjwa yakijulikana!
Kazi ipoWaume za watu wenyewe ndo hao waliopigiwa magoti kuombwa ndoa saizi wanahaha nje na michepuko[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wake za watu wenyewe ndo hao walioolewa lakini hawana hisia na waume zao [emoji3]
Wamekusikia[emoji1787] haya napunguza sauti
😂😂😂Badili tabia kwanzaNdio maana inabidi kuwa na figa zaidi ya moja....lenye vigezo.
Anayewahi anapewa jimbo.
Haya.Hiyo moja ikimkuta mtu msipige yowe kwamba wanaume ni korofi.😂😂😂Hizo bahati mbaya
1 kwa 1000
Ndio anatoaSijaelewa hapo kwenye Bajeti ya Laki 2( 200000/=) Umesema huyo muolewa yeye anaandaa tu au ndio anatoa!
Labda Bwana harusi amkopeshe Bibi Harusi,Watalipana hukohuko.Ndio anatoa
Unamkopesha tu kwenye ndoa nyie ni mwili mmoja, halafu siku hizi mmerahisha wenyewe na mambo yenu ya haki sawa yaani 50/50.Kabisa ndo mwishowe akwambie sina mahari unajikuta unasema ntakupa au ntakuazima 😀😀
Kaa kwa utulivu basi nilikuwa nachangamsha genge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata yule alikuzingua jana hujamfikiria bado Chalii?
Hili suala ni sensitive sana mkuu huwezi ukakurupuka tu nakuanza kumpa mtu mwongozo na ushauri kuhusu ndoa zaidi atakuona unafuatilia maisha yakeMwambie asome uzi huu