Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mimi ni CHADEMAChadema wanashirikiana na hao unaowaita wakala wa shetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni CHADEMAChadema wanashirikiana na hao unaowaita wakala wa shetani
Basi nyinyi na CCM wote ni mawakala wa shetaniMimi ni CHADEMA
Wacha kutetea ujinga. Wanakufa watoto wachanga ambao wanazaliwa kwenye mazingira magumu. Hakuna wakunga na hakuna hospitali na vifaa tiba. Paul Biya wa Cameroon ana miaka 91 bado yupo. Thobiang Nguema ana zaidi ya 80 bado yupo.
Huyu kichaa wenu alihamisha mitambo mizuri ya hospitali ya Bugando akapeleka Chato, akawa na madaktari wote wazuri akina Prof Ngwale, Mchembe, MAKUBI lakini walishindwa kumuokoa kwenye COVID 19.
.
Magufuli alikuwa alidhani hatakufa. Akajilinda na Wanyarwanda, wachawi wa Gambosh na bado akadedishwa na COVID 19. Magufuli alikuwa analindwa na kikosi Maalum cha Askari wenye sare na wasii na sare, Askari wenye mabastola na AK 47, Askari wenye ving'amuzi vya kwenye laptop, magari ya Internet Jammer na utambuzi wa vilipuzi. Na mwisho alikuwa na Helicopter juu angani!! Vilimpa kiburi lakini Mungu akaamua pale 17/ 03/ 21 na kumpeleka jehanam
Aliyeanza name calling si ni wewe uliyeniita zezeta? Afadhali mimi niliyekuita "mpinzani" na wala sikumaanisha kwamba lazima uwawakilishe vyama vya upinzani. Ila vyovyote vile unavyotaka utambulike still huna tofauti na anti-Magufuli wa rangi zote. Wengine hawakumpenda kwa sababu aliwatumbua kwa sababu mbalimbali ikiwemo vyeti feki, wengine hawakumpenda kwa sababu hakuwa mvumilivu wa incompetence ya aina yoyote ile, wengine ambao pengine ndio mada iliyo mezani watamchukia milele kwa sababu aliwafunua jinsi walivyo wanafiki na wabinafsi waliojificha kwenye demokrasia na siasa za upinzani.usirukie kujificha kwenye kichaka cha kuniita mpinzani, mimi siwakilishi chama chochote kwenye maoni yangu, simply najibu Magufuli alivyokuwa tapeli
nimekuujibu Magufuli alikuwa na integrity gani kumzidi Samia, maana ndio alichosema mtoa uzi, ku imply kuwa Magufuli alitaka upinzani wa kuikosoa CCM
Nikawajibu kama kuna mtu aliyekuwa desperate kuua upinzani nchi hii ili asikosolewe ni huyo tapeli Magufuli
Sema jingine
Mkuu umemaliza kila kitu kwani Johnny Sack nani aliowalizimisha Wapinzani wampokee Lowassa sio maamuzi yao wao wenyewe na hao hao walianza kumtuhumu ni fisadi mpaka wakamweka kwenye list of shame, Upinzani unajimaliza wao wenyewe kwa tamaa zao za kijinga zisizokuwa na maslahi ya wananchi pamoja na kuwa ni vigeugeu umesikia huko habari ya wabunge wa covid-19?Aliyeanza name calling si ni wewe uliyeniita zezeta? Afadhali mimi niliyekuita "mpinzani" na wala sikumaanisha kwamba lazima uwawakilishe vyama vya upinzani. Ila vyovyote vile unavyotaka utambulike still huna tofauti na anti-Magufuli wa rangi zote. Wengine hawakumpenda kwa sababu aliwatumbua kwa sababu mbalimbali ikiwemo vyeti feki, wengine hawakumpenda kwa sababu hakuwa mvumilivu wa incompetence ya aina yoyote ile, wengine ambao pengine ndio mada iliyo mezani watamchukia milele kwa sababu aliwafunua jinsi walivyo wanafiki na wabinafsi waliojificha kwenye demokrasia na siasa za upinzani.
Zipo sababu nyingi sana za kumchukia Magufuli kama ukitaka kumchukia. Na sidhani kwamba Magufuli alikuwa na nia ya kuuua upinzani, NCCR wakati inajifia aliyeiua siyo Magufuli, CUF wakati inajifia aliyeiua siyo Magufuli, TLP wakati inajifia aliyeiua siyo Magufuli na Chadema inavyojifia msimsingizie Magufuli. Anayeua upinzani ni wapinzani wenyewe: hamna misingi, hamna dira ya muda mrefu na at the core kinachowasukuma kwenye siasa zenu ni ubinafsi uliopitiliza. Kama mnafikiri Magufuli ndio mbaya wenu haya leo hayupo but tutarudi tena kwe uzi huu miaka kadhaa ijayo na utaniambia. Kama tutabahatika kuwa hai anyway. Kwanini nina ujasiri huo? Kwa sababu wapinzani hamna uwezo hata wa kujikosoa na kubadilika.
Kwahio tunatofautiana viwango?Basi nyinyi na CCM wote ni mawakala wa shetani
Mnaendana kitabia tofauti ni Moja tu mmoja yupo madarakani mwingine anatafuta madarakaKwahio tunatofautiana viwango?
Wacha weee. Muda huu ni wewe unaongea au ni pombe?Mnaendana kitabia tofauti ni Moja tu mmoja yupo madarakani mwingine anatafuta madaraka
hahaha dah Man kumbe na wew unakauli tata? hii Coment yako imefanya nisahau nilichodhamiria kuandikaNi kweli hakufanikisha lolote wakati kila siku unaupandisha huo mkunduw kwenye mabasi ya blue kutoka gerezani hadi unapoushusha ukielekea uswekeni ulipojenga huko Matosa.
Mi naogopa !.. we huogopi?Hii nchi ngumu sana, yaani mbolea inachanganywa na mchangaaa na kuuzwa kwa mkulimaa?
Kama ulijimaliza wenyewe kwa nini alifingia mikutano ya hadhara? Ambayo lpo kikatatiba na marais wote wa Tanzania wameorihusu?Mkuu umemaliza kila kitu kwani Johnny Sack nani aliowalizimisha Wapinzani wampokee Lowassa sio maamuzi yao wao wenyewe na hao hao walianza kumtuhumu ni fisadi mpaka wakamweka kwenye list of shame, Upinzani unajimaliza wao wenyewe kwa tamaa zao za kijinga zisizokuwa na maslahi ya wananchi pamoja na kuwa ni vigeugeu umesikia huko habari ya wabunge wa covid-19?
Mimi sio mpinzani, na expose utapeli wa Magufuli, wapinzani wakionyesha utapeli nitawasema piaAliyeanza name calling si ni wewe uliyeniita zezeta? Afadhali mimi niliyekuita "mpinzani" na wala sikumaanisha kwamba lazima uwawakilishe vyama vya upinzani. Ila vyovyote vile unavyotaka utambulike still huna tofauti na anti-Magufuli wa rangi zote. Wengine hawakumpenda kwa sababu aliwatumbua kwa sababu mbalimbali ikiwemo vyeti feki, wengine hawakumpenda kwa sababu hakuwa mvumilivu wa incompetence ya aina yoyote ile, wengine ambao pengine ndio mada iliyo mezani watamchukia milele kwa sababu aliwafunua jinsi walivyo wanafiki na wabinafsi waliojificha kwenye demokrasia na siasa za upinzani.
Zipo sababu nyingi sana za kumchukia Magufuli kama ukitaka kumchukia. Na sidhani kwamba Magufuli alikuwa na nia ya kuuua upinzani, NCCR wakati inajifia aliyeiua siyo Magufuli, CUF wakati inajifia aliyeiua siyo Magufuli, TLP wakati inajifia aliyeiua siyo Magufuli na Chadema inavyojifia msimsingizie Magufuli. Anayeua upinzani ni wapinzani wenyewe: hamna misingi, hamna dira ya muda mrefu na at the core kinachowasukuma kwenye siasa zenu ni ubinafsi uliopitiliza. Kama mnafikiri Magufuli ndio mbaya wenu haya leo hayupo but tutarudi tena kwe uzi huu miaka kadhaa ijayo na utaniambia. Kama tutabahatika kuwa hai anyway. Kwanini nina ujasiri huo? Kwa sababu wapinzani hamna uwezo hata wa kujikosoa na kubadilika.
Urais ni both akili na kipawa. Magufuli hakuwa navyo vyote ndiyo maana ALIKUFA huku hajafanikisha lolot
Hilo ni kosa lake kubwa "kujaribu" badala ya kumaliza kabisa mwisho wake wamemwahi yeye. Kuna maslahi ya watu ukishika lazima watu wauane hiyo ni dunia ilivyo, hata US baba wa demokrasia duniani nenda ukashikie maslahi yake huko middle east halafu tuone kama utarudi salama. Acheni kuishi kwenye utopia.Kama ulijimaliza wenyewe kwa nini alifingia mikutano ya hadhara? Ambayo lpo kikatatiba na marais wote wa Tanzania wameorihusu?
Kwa nini alijaribu kumuua Lissu akashindwa? Kwa nini alipora uchaguzi na kuzima intaneti?
Wapinzani walimuwahi?Hilo ni kosa lake kubwa "kujaribu" badala ya kumaliza kabisa mwisho wake wamemwahi yeye. Kuna maslahi ya watu ukishika lazima watu wauane hiyo ni dunia ilivyo, hata US baba wa demokrasia duniani nenda ukashikie maslahi yake huko middle east halafu tuone kama utarudi salama. Acheni kuishi kwenye utopia.