Njia ya Kibiti kwenda kwenye laana ya Cabo Delgado

Wewe ndio utuambie ni makundi gani yameanza baada ya 2001. Pia hata kama yameanza baada ya 2001, haibadilishi maana ya kwamba hayo makundi yanafungamana kwa kiasi kikubwa na imani ya kiislam, hasa JIHAD.
Usiwe unakurupuka dogo , fuatilia hayo makundi aliyotaja hapo juu .
 
Hawa watu walisumbua sana Mkiru na kwa kweli mfumo mzuri wa usalama wa nchi(Jeshi na Polisi,UST,MI) ulisaidia kuikoa nchi na mikono ya magaidi
Ulihitajika ukatili mapemaaa. Ingawa Zitto Kabwe na wenzie waliingiza siasa na kuubeza.
Sasa kungekwa na kilio kikubwa na makaburi yasiyo idadi toka Lindi, Rufiji, Kibiti, Mkuranga, Dar, hadi Tanga.
Wanasiasa uchwara wazingatia matumbo ni watu hatari sana.
 
Wanasiasa sio wa kuendekeza hasa kwenye military operations
 
 
We nae tutolee huu ujinga wako na mapovu Kila comment bwana.

Kila siku mnakuja na jambo hilo hilo la uislamu unachafuliwa. Kwa kitu kipi cha maana mlichonacho hadi dini yenu ichafuliwe?

Ni swala la kuamini (Imani )tu? Yani mtu akibadili dini na kuwa muislamu,hiyo itaniathiri vipi Mimi nisiye muislamu?

Mfano Mimi nimekaa Zanzibar ambako Kuna uislamu zaidi ya 90% ,hiyo Ina athari Gani kwangu nisiye muislamu? Mbona maisha yanaenda vile vile ?

Huu udwanzi wa kulalamika "uislamu unachafuliwa " mnatuchosha. Huo uislamu una nini cha maana hadi upigwe vita enyi wanafiki?
 
Very interesting brother
 
Hayo makundi ndio maana unatakiwa kusoma origin yake ni shambulio la Marekani .. Lile kundi lililohusika ndio wakaja na haya madogo ili kukamata wahusika real .

Osama ni zao la USA , ameua ndugu zake huko Iraq mpaka akaja kugombana na hao USA .
Kwa nini huyo Osama na Shehe Rogo wanapewa heshima kubwa miongoni mwa waislamu? Tena waislamu wengine wanaenda mbali na kuwabandika picha zao hadi kwenye magari hao waislamu wenye misimamo mikali kama Osama na Rogo.

Tatizo lenu nyie waislamu ni unafiki uliopitiliza. Mtu (miongoni mwenu) akifanya mabaya na jamii ikakemea, nyie mnatokeza mbele na kukemea pia kwamba "huyu hausiki na uislamu" ,"huyu siyo muislamu" "hakuna uislamu wa hivyo" "huyo haujui usilamu".

Juzi hapa mmemkataa Shehe wenu maarufu NURDIN KISHKI na wengine kumuita kafiri na mzushi,haujui uislamu kisa amesema ni ruksa katika uislamu kutafuta utajiri kwa kutumia majini.

Ni kwa nini baadhi yenu wanapokengeuka na kutenda yasiyofaa mnawatoa katika uislamu?

Uislamu unawezaje kuexist bila watu? Hao Boko Haram kule Nigeria wanatesa na kuua watu kwa jina la uislamu lakini humu mnautetea uislamu auhusiki unachafuliwa. Uislamu ni Vacuum? Si ili kuwe na uislamu inabidi kuwe na waislamu?

Kwanza mnatuharibia Uzi mnapojistukia na kujihami kwa kuanza kuutetea uislamu wakati mleta mada hajauongelea kabisa uislamu kwenye Uzi wake. Toeni huu utumbo wenu asee!!
 
Hamna kitu kama hicho , Abdul rogo kauliwa kwa shambulio alikuwa ni mwanaharakati , gari alilokuwa amepanda na fimilia yake limeshambuliwa , unataka kusema nn kma sio kushambulia fmilia nzima. Ameuliwa akiwa mshukiwa wa kufadhili ugaidi sio kwamba alishikwa na hatia ila kashambuliwa kwa akiwa katika gari kama Tundu LISSU .

Ndio maana unatakiwa kufuatilia haya mambo , uislamu kumtukuza shekhe au mtu fulani ni ''SHIRKI'' hata awe nan duniani ...


Shekhe ndio nan ? Huku hamna kumtukuza kiongozi zaidi ya QUran na sunnah , ukienda kinyume unachapwa hata makofi kama marehemu Mwinyi kule Tnga .
Ndio maana unaambiwa ukienda nje ya uislamu basi sio muislamu , ukijihusisha na ugaidi ni kinyjme cha uislamu nchi zeny sheria za kiislamu adhabu yako ni kifo .

Wewe mwenyewe hushangai propaganda zote ila watu wanaslimu kila siku . je, wao hawaoni kama uislamu ni ugaidi 😀 😀 😀 ...

Uislamu uko perfect ila waislamu hawapo perfect , zile hukumu ulitaka ahukumiwe nan ?
 
Mmemshambulia Tundu lissu risasi so alikuwa gaidi ? ROgo ni ishu ya kisiasa na kuongea ukweli.
Cheki ulivyo mdwanzi.

"Rogo ni ishu ya kisiasa" uko sawa kweli? Nani asiyesikiliza mahubiri ya huyo Shehe marehem? Au mnadhani mawaidha yake mnasikiliza peke yenu?

Mwaka 2017 nipo nimepanga zangu nyumba Moja na jamaa mmoja muislamu sana (jamaa alikuwa serious na dini vibaya). Siku Moja katika Moja ya mawaidha yake akaweka mawaidha ya huyo Shehe Rogo.

Jamaa (mpangaji) alikuwa analifungulia Redio lake anataka Kila mtu asikie mahubiri ya kwenye Redio yake

So,hiyo siku akaweka mawaidha ya Rogo.

Shehe Rogo anakuambia "Ukimwona mkristo na kafiri yeyote anakaribia kukata roho kwa kiu,usimpe maji,mwache afe,Tena ikiwezekana mwaishe mapema kabisa usisubiri mpaka afe na kiu.

Kwa maelezo yake alikuwa anasema makafiri hawapaswi kuachwa wakaishi maana wameukataa uislamu. Na waumini wote kwenye msikiti walikuwa wanaitikia "Takbiiir" Kila anachosema.

Nimeongelea hiki kipande maana kilinifanya kuanzia siku ile nimchukie yule mpangaji kwa moyo wangu wote. Ubinadamu uko wapi sasa hadi umuue mtu asiye Imani yako?

Miaka 7 imepita,Leo wewe hapa jf unakuja kusema serikali iliingiza siasa ikamuua Rogo.

Bure kabisa wewe na wenzio msio na ubinadamu.
 
Acha kuwa mpumbavu tangu lini serikali inashambulia watu ? serikali ilikuwa na uwezo wa kumfikisha mahakamai wakati Rogo kashambuliwa .


View: https://youtu.be/go3z4EPz_Bc?si=6ybIdWvlRRSZqaVT
Minyoo ya Nguruwe inakuharibu kichwani hata kufikiria hujui.

Bila ya mchongo wa vyeti fake hauna jipya , kumbe hata hujui unaongela , basi kashambuliwa kama Tundu Lissu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…