Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Njia za kufuata ili kuachana na unywaji wa Pombe na Ulevi uliopitiliza

Siwez kukubali mazaa apigwee kila sku kwa starehe zake baba nampa tu kipondo hata laaana szan kama itanifikia maana nitakuwa nimefanya jambo jemaaa
Kwa nini umtetee mazaa zaidi ya dingi ?! Hao walipotoana wanajua wenyewe

Wewe mshtakie Mungu, ndugu, marafiki na jamaa. Pia endelea kutafuta dawa lakini si kupiga
 
Poleni kwa miangaiko ya wiki na pilika za hapa na pale!

Naombeni msaada tiba ya kumwachisha mtu kunywa pombe.

Hili tatizo la ulevi analo Baba mzazi ambapo akilewa tu , Mama anakosa amani kwa sababu anakuwa anapigwa tu, pasipo na sababu za msingi .

Lakini asipo kunywa pombe anakuwa ni mtu mwenye busara tu. Hivi karibuni amekuwa akilewa mfululizo kiasi ambacho vurugu nyumbani haziishi.

Kwa hyo kutokana na hili tatizo linapelekea Mama kukosa amani pale nyumbani, mpaka ndugu wa mama wamekuja juu kutaka kumwondoa dada yao pale nyumbani!

Nilishasikia tiba ya kumwachisha mtu pombe ni kumchanyia mkojo wake mwenyewe kwenye pombe!
Hili bado sijalifanyia kazi kwa kukosa ushuhuda thabiti kwa watu waliojaribu au kutibiwa!

Naomba mwenye kufahamu tiba yeyote ile au mwenye ushuhuda kwa hiyo tiba ya kumwekea mkojo wake kwenye pombe! Atakuwa amenipatia mwangaza mzuri!
Tiba kuu ya pombe NI kujitambua tu
 
Labda watu tumetofautiana aisee hivi unaanzaje kumpiga baba ako mzazi [emoji23][emoji23]

Akianzisha zogo hapo nikutoka kimya kimya kama simuoni
 
Mkuu nimesoma thread yako nikajiuliza.
Baba yako kaanza pombe siku hizi? Au hiyo tabia ya kupiga kaanza lini? Yani kakulea mpaka umepata smart phone maza hajamkimbia iwaje ndugu waingilie kati sasa?
Kuna kitu unaficha chalii..
Anyway kuna dawa za kimasai unachanganya kwenye pombe akiinywa kila akigusa pombe ni kuharisha na kutapika mpaka atakosa hamu ya pombe...
 
mbona simple sana mm mzee alikuwa ni mlevi kila siku tulikuwa lazima tupeleke watu kuwatibu maana alikuwa anatembeza kichapo huko baa mpo basi.
kwavile home alikuwa haletagi fujo tuliona sawa ila tukaja ona tunapoteza fedha nyingi Kwa kutibu watu.
tulichofanya tulitafuta maziwa ya nguruwe kidogo tuka mix kwenye mbege alafu tukampa alitaaapika yaani mpk leo ata akikaa karibu na pombe roho inachefuka zake ni soda na chai tu
 
We kunywa tu wala usihofu, Mimi mwenyewe nataka dawa ya Sigara ila hata nikiacha naona ntajipunja sana aisee.
 
Aisee huyo angekuwa baba yetu tungemchangia tumpe kipondoo cha haja akalazwe hospital miez sitaaa nahis na pombe ataacha akirudia tunampa tena kipondooo akianza tu kumpiga mazaa lazima tuchangieee tumpige kisawasawaaa.

Aisee ngoja wajuvi wajee watusaidiee mbinu.
Uhuni huo.
 
Aisee huyo angekuwa baba yetu tungemchangia tumpe kipondoo cha haja akalazwe hospital miez sitaaa nahis na pombe ataacha akirudia tunampa tena kipondooo akianza tu kumpiga mazaa lazima tuchangieee tumpige kisawasawaaa.

Aisee ngoja wajuvi wajee watusaidiee mbinu.
Etiiiii? Baba yenu mmchangie kumpiga? Duhhh we kabila gani mkuu
 
Mkuu nimesoma thread yako nikajiuliza.
Baba yako kaanza pombe siku hizi? Au hiyo tabia ya kupiga kaanza lini? Yani kakulea mpaka umepata smart phone maza hajamkimbia iwaje ndugu waingilie kati sasa?
Kuna kitu unaficha chalii..
Anyway kuna dawa za kimasai unachanganya kwenye pombe akiinywa kila akigusa pombe ni kuharisha na kutapika mpaka atakosa hamu ya pombe...
Hii kitu unawezajiwekea mwenyewe???
 
Aisee huyo angekuwa baba yetu tungemchangia tumpe kipondoo cha haja akalazwe hospital miez sitaaa nahis na pombe ataacha akirudia tunampa tena kipondooo akianza tu kumpiga mazaa lazima tuchangieee tumpige kisawasawaaa.

Aisee ngoja wajuvi wajee watusaidiee mbinu.
Akitoa accrual akaipigapiga chini ujue hiyo laana itakuandama wewe na vizazi vyako vyote..
 
mbona simple sana mm mzee alikuwa ni mlevi kila siku tulikuwa lazima tupeleke watu kuwatibu maana alikuwa anatembeza kichapo huko baa mpo basi.
kwavile home alikuwa haletagi fujo tuliona sawa ila tukaja ona tunapoteza fedha nyingi Kwa kutibu watu.
tulichofanya tulitafuta maziwa ya nguruwe kidogo tuka mix kwenye mbege alafu tukampa alitaaapika yaani mpk leo ata akikaa karibu na pombe roho inachefuka zake ni soda na chai tu
duh,,, tea na soda!!!
 
Back
Top Bottom