CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Hakika mkuu kura ina nguvu sana ya kubadilisha Maisha ya Watanzania kupitia viongozi wanao wachagua.
japokuwa jiwe hataki kabisa taasisi za kiraia ziwafundishe watu kuhusu elimu ya kiraia kujiandikisha , kupiga kura na kufuatilia matokeo.
Watanzania ni wakati muhimu sana wa Mabadiliko.
CHADEMA imewaletea Mgombea urais kweli kweli si mpinzani.
# Ni YEYE.*
japokuwa jiwe hataki kabisa taasisi za kiraia ziwafundishe watu kuhusu elimu ya kiraia kujiandikisha , kupiga kura na kufuatilia matokeo.
Watanzania ni wakati muhimu sana wa Mabadiliko.
CHADEMA imewaletea Mgombea urais kweli kweli si mpinzani.
# Ni YEYE.*