Njombe: Mfanyabiashara aliyevamiwa na kujeruhiwa afariki dunia

Inasikitisha Sana..jamani tusikae nyumbani Na pesa nyingi
 
njombe nilikuwa napachukulia poa ila ni sehemu hatari

nasikia kuna tajiri mmoja huko aliitwa bomoa, alikuwa anateka wasichana mikoani anakuja kuwaweka kwenye danguro lake,

baada ya kufa polisi walichunguza nyumba yake wakakuta alikuwa na chumba cha kuchinjia watu
 
Uongo watu wakijijini kuzusha zusha
 
ubatili mtupu! utafute pesa kwa udi na uvumba, usiku na mchana uzipate kiasi, zenyewe tena zikuue!

tumche Mungu ndugu zangu, haya mengine ni ubatili mtupu, na kujilisha upepo.

JESUS IS CHRIST!
Sasa Mungu ndo anataka tuwe masikini walokole bana.

Unasema kuwa na hela ubatili wakati kanisani michango lukuki
 
ubatili mtupu! utafute pesa kwa udi na uvumba, usiku na mchana uzipate kiasi, zenyewe tena zikuue!

tumche Mungu ndugu zangu, haya mengine ni ubatili mtupu, na kujilisha upepo.

JESUS IS CHRIST!
Huyo mungu angeweza kumfanya huyo tajiri awe na pesa na aishi kwa amani, lakini siasa nyingi ooh mpokee yesu, ooh sali sana....

Yaani wewe huna tofauti na watoto wanavyoamini eti walinunuliwa badala ya kutoka kwenye nyuchi
 
Wewe si umeandika ubatili mtupu tumwamini Yesu.

Sasa Yesu ndo katukataza kuwa na hela
kuwa na pesa bila Yesu ni ubatili mtupu. Sisi tuna pesa, na tunaye Yesu. Jambazi akipanga kunidhuru kabla ya kunifikia malaika watakatifu, Jeshi la mbinguni wanakuwa weshamshughulikia. Tunalindwa na nguvu za ajabu. 1PETRO 1:5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…