Njombe: Mfanyabiashara aliyevamiwa na kujeruhiwa afariki dunia

inataka kufanana na ya yule jamaa alokua anateka mabinti anawabaka akichoka anachukua magunzi/mabunzi na matango,,aliwanyonya chuchu hadi zinakatika mbwa yule
wakifa anafunga kwenye mfuko kutupa mtoni.
 
Hii mpya
Alikuwa kona zipi huyo
kilimani au kihesa huku aseee,,kukamatwa kujieleza alipewa mashart na mganga na alkua anashirikiana na mwenye nyumba wake
mwenye nyumba alkua mwanamke,,walvoshtukiwa mwenye nyumba akajidai nayeye mhanga,,kupelekwa hospital mda wa folen akakimbi
yule kijana alipokonywa cm zkaonekana mesej zao
 
Wakinga/ Wabena ni watu wa kufanya biashara za masharti ya kishirikina. Siku hizi kuna lipa Namba kwa mtandao lakini Wakinga awanataka cash money. Ndiyo masharti yenyewe ngoja tusikie zaidi
 
Niliondoka na kupitia bar kupata moja. Walikuwa na demu moja mkali akawa anajigonga kwangu ili aniwekee dawa za usingizi kwenye bia.
Imenikumbusha Prof mmoja naye alifanyiwa hivi, yeye alikuwa na bahasha yenye scripts za wanafunzi, akategwa akalala, wakachukua bahasha, kwenda kufungua wakakuta ni mitihani, wakatupa huko, kesho yake Prof hana script hata moja
 
Mungu awalaani kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ