NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Sijaona bank ambayo wafanyakazi wanaAttitude kama NMB.... ile branch ya Air port yule Relationship manager na customer service hawafai hata kidogo. Hivi kweli mtu una draw 20milion unaambiwa na relationship manager eti siyo bulky???? Really??

Yan hakuna siku nliyoenda pale afu hakuniaribia siku. Ila now mwendo ni Stanbic wabaki na upuuzi wao kama pesa yangu sio chanzo cha mshahara wao. Do something.
 
Foleni majanga atm kwisha hela hivi hamjui makadirio ya wateja wenu kwa weekend?
 
mm nimeenda kufungua accounti juzi tu nafika naambiwa nisubirie netweck sasa hii netweck jamani wanaboa kama tigo
 
NJOONI NMB KASULU-KIGOMA ATM ZIMEZEEKA JAMANI!
MALA MTANGAZIWE KUTOA KWA MAFUNGU YA 200,000/ NA ZIKIPIGA KAZI MASAA 2 BILA KU-STUCK BASI SIKU HIYO MALAIKA ATAKUWA HAPOOO!!

KAMA KWELI MPO SERIOUS FIKENI KASULU JAMANI NI MAJANGA!!

I remain!!!!!!!
 
Jamani wahusika wa NMB, mbona wafanyakazi mbalimbali tunao kopa mikopo kwenu kwa sasa inachua zaidi ya mwezi kutoka..nini kimetokea, wakati hapo nyuma hali ya hii Bank ilikuwa nzuri sana ..mtu alikuwa anaandika mkopo wake week moja unatoka, kwa sasa mmeishiwa pesa au.

Na kama mmeishiwa pesa mbona mnaendelea kuchua form za maombi ya mikopo kutoka kwa wateja..
 
Mbona hamjibu msg zetu...au ni thred fake!!!!
 
Hivi kwa nini huduma zenu za NMB mobile ni mbovu? Unatuma pesa kwa MPESA inachukua siku nzima hupokei jibu, unapiga Huduma kwa Mteja unaambiwa huduma inashughulikiwa, inapita tena siku nzima, unapiga tena kuuliza unaambiwa fedha hazijatumwa imerejeshwa kwenye Akaunti yako..Hapo una afadhali.

Lakini pengine unapiga huduma kwa Wateja simu inaita tuu siku nzima...au unapiga haipatikani muda wote.
 
Sina hamu na nyie kwa mlichonitenda, mmelima salary yangu na mkopo hamjanipa......nimefuatilia mnazingua na nimewalaani dunia nzima, mkopo wenyewe mnasumbua kama napewa bure vile. Boresheni huduma zenu bhana
 
Sina hamu na huduma zenu, foleni na atm hazifanyi kazi mara nyingi.
 
Hayo yote yanasababishwa na uongozi wenu mbovu hasa hasa kitengo cha human resouces haiwezelan mtu amesomea philosoph anamwajiri bank teller unamwacha banking and finance from ifm hili lilinitokea huku mwanza hamna jipya hyo ni bank ya kifamilya sidhan km mtaweza kuboresha hata kdogo
 
nilijiunga na nmb kwa ajili ya mshahara vinginevyo huduma ni mbovu na cwezi kumshauri mtuu ajiunge na nmb wajinga wakuu
 
hv kwann mda wa kukopa nmb umekuwa mfupi sana miaka mitatu kweli kunalenga kusaidia au kudidimiza
 
mdau nakuunga mkono hr kanda ya ziwa hovyo kabisa.nilifanya interview na mwatu walikua na watu wao wenye vigezo tukapigwa chin wenye ndugu wakaingia
 
Back
Top Bottom