NMB Tanzania
Official Account
- Sep 13, 2014
- 94
- 231
- Thread starter
-
- #761
Hapana, fika Tawi lililo karibu nawe kwa msaada zaidi.Naomba kuuliza nilijiunga NMB mobile lkn line yangu ikapotea halafu nikarenew tena je hiyo nmb mobile itaendelea kufanya kazi?
Habari, tafadhali tembelea Tawi lako ili kufanya mchakato wa kadi mpya.Nimepoteza ATM card Je ni utaratibu UPI unafatwa ili kupata nyingine ?
Mimi nimeshahakikiwa,ni mtumishi mwenye vigezo vyote,sio hewa. Je naweza kupata mkopo wa wafanyakazi nilipie mahitaji ya shule kwa wanangu?Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Mkuu karibu sana katika tawi letu lililo karibu nawe tuzungumze.kiongozi mi bado nauliza hili swala la mikopo kwa sie ambao hatujawahi kukopo ndio hamtutaki tena
Mkuu unazungumzia ChapChap Acc.?Hivi bonus account kwann haina kadi wala kitambulisho cha kudumu..?
Hongera kwa kutokuwa "jipu". Karibu tawi letu lililo karibu nawe tuzungumze.Mimi nimeshahakikiwa,ni mtumishi mwenye vigezo vyote,sio hewa. Je naweza kupata mkopo wa wafanyakazi nilipie mahitaji ya shule kwa wanangu?
Kama mtu ni mfanyakazi wa kampuni binafsi lakini haina MOU na NMB lakini yuko tayari kupitisha mshahara kwenye bank yenu...utaratibu wa kuomba mikopo utakuwa umekaaje hapo kwa mazingira kama hayo ?Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Thanks, Big up NMB. May God make you a more prosperous bank in EAC and over!Hongera kwa kutokuwa "jipu". Karibu tawi letu lililo karibu nawe tuzungumze.
Nakuungaaa mkonoongezeni atm tumechoka kupanga folen nchi nzima kama watoto
nmb bank sitaki kutumia nilishapigwa pesa yangu nikafatilia lakini mpaka leo.Sasa ivi NMB bank Tanzania wapo vizuri sana