NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

kiongozi mi bado nauliza hili swala la mikopo kwa sie ambao hatujawahi kukopo ndio hamtutaki tena
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.

Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Mimi nimeshahakikiwa,ni mtumishi mwenye vigezo vyote,sio hewa. Je naweza kupata mkopo wa wafanyakazi nilipie mahitaji ya shule kwa wanangu?
 
Mimi nimeshahakikiwa,ni mtumishi mwenye vigezo vyote,sio hewa. Je naweza kupata mkopo wa wafanyakazi nilipie mahitaji ya shule kwa wanangu?
Hongera kwa kutokuwa "jipu". Karibu tawi letu lililo karibu nawe tuzungumze.
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.

Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.


Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe "Siri")
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
Kama mtu ni mfanyakazi wa kampuni binafsi lakini haina MOU na NMB lakini yuko tayari kupitisha mshahara kwenye bank yenu...utaratibu wa kuomba mikopo utakuwa umekaaje hapo kwa mazingira kama hayo ?
 
Mnachukua muda gani kufunga account isiyotumika? Yangu ina mwaka mmoja na miezi 3 sijaiwekea hela.
 
Nishawishini nifungue akaunti ya kampuni kwenu.
Faida gani ntazipata nikiwa na akaunti kwenu?
 
Mm nilichukua mkopo wa wafanyakz nkafnya Mishe ndan ya miezi 3 nkataka nichukue mkopo mwingi said so nkaenda kuwarudishia pesa yao ila wakakataa hebu nope maelezo kuhusy hili
 
napenda huduma zenu ila napenda kujuA mda gani mnaruhusu kuurenew mkopo kama ulichukua mkopo mdogo unataka kuongeza
 
Nataka kujua kuhusu kutoa mikopo mipya kwa watumishi wa umma, tawi la mbulu mkoani manyara bado hawatoi!!
 
Naomba kujua kuhusu mikopo mipya kwa watumishi wa umma, bado iko on hold mpaka lini? NMB tawi la mbulu mkoani manyara hawatoi mikopo!!
 
hawa jamaaa usijaribu kutumia huduma za visa na master card hela yako hutaiapata kwa muda utaipata baada ya siku 48
 
Back
Top Bottom