Nisamehe sana , natubu, kumbe ulimaanisha utani. I am sorry, deeply sorry! I do apologize!Maskini pole,....Mi nikajua tupo ktk utani....Bwana Yesu asifiwe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisamehe sana , natubu, kumbe ulimaanisha utani. I am sorry, deeply sorry! I do apologize!Maskini pole,....Mi nikajua tupo ktk utani....Bwana Yesu asifiwe!
Usihofu...Watz wote ni ndugu.Nisamehe sana , natubu, kumbe ulimaanisha utani. I am sorry, deeply sorry! I do apologize!
Hama mtandao unaotumia kuangalizia hiyo account. Mfano voda huwa wanakata na akaunti inakatwa tena na bank LKN Tigo hata uwe na salio 0.00 kwenye simu yako bado unaweza kuona salio lako la bank[/QUOTEW]
Voda wezi sana,...Huna salio,no huduma kibenk
ngoja Amoxlin aje...Alafu hivi makato ya kutolea hela dirishani ni shilingi ngapi kwa NMB?
Yani haya mabenki yanamkamua mwananchi sana,ukitaka kutoa milioni ni lazima utoa mara tano,maana wameweka 5000 note tu na ukitoa mara tano unakatwa charges 5 times...Ni wizi Mkubwa.
Mkuu yani kile kitendo cha kupiga tu *150*66# then ukaacha hapo bila kuendelea ni sawa na umempigia mtu simu amepokea then huongei salio linaenda tu.Labda nirejee swali langu tena....Nataka kujua ukiwa na vocha salio,eg sh 500,ukaingia nmb-mobile akaunt,kwenye vocha wanakata sh ngapi kwa muamala mmoja wa kuchek balance bank?
Najua ukiwa slow salio linaenda zaidi,nilichek balance tu akaunt,na kutoka wakakata 300 na sikutumia zaid ya sec 50Mkuu yani kile kitendo cha kupiga tu *150*66# then ukaacha hapo bila kuendelea ni sawa na umempigia mtu simu amepokea then huongei salio linaenda tu.
So ukitaka wakate pesa kidogo uwe faster sana ktk hiyo menu ukienda slow na wao wanazidi kukukata tu pesa.
Solution badili line tumia tigo au Airtel.
We ndo hujamwelewa...Kasema wakiweka 5000 atm wanakufosi utoe mikupuo mi 5,kwa makusudi.Wanajua wakiweka 10000 mnatoa mikupuo michache,na jamaa hakujua kama atm imewekwa kiasi ichoNadhani wewe hujawahi tumia ATM
Milioni unatoa Mara 3 tu
Mara ya kwanza lakini 4, Mara ya pi
I laki 4 na ya mwisho laki 2
Au vyovyote utavyoona itimie 1m
Mfano 3+3+4
Nadhani umepata mwanga maana hujawahi tumia ATM mkuu
Alafu hivi makato ya kutolea hela dirishani ni shilingi ngapi kwa NMB?
Tzs 300/-Kwa anayejua wanakokotoaje makato hasa kwa NMB-Mobile ukiangalia salio.Maana nilikuwa na salio la Tshs 350 kwenye simu,kuangalia tu salio kwa nmb-mobile mara moja nimebakiwa na Tsh 44.65 dah...Na kule akaunti sijui wanakata ngapi?...Pili: Kwa nini,mteja akitaka kujitoa Nmb -mobile wanagoma.?
Nenda waeleze customer service watakuunganisha na hiyo huduma.Ningependa kweli mimi kupata message za taarifa kuwa watu wameniingizia hela,huwa sizipati.Hizi za kuwa nimetoa napata.
Nenda customer service watakuunganisha mkuu ukiwaambia.Sijui tatizo ni nini.
Maana huduma ninayoipata mimi wewe huipati na kinyume chake pia.
Sikujua kama kuna notificationa kwa njia SMS pindi utoapo Pesa kwenye Account
Kuna jamaa,anahitaji kujua....Makato ya dirishani ukitoa helaNauliza gharama za kuangalia salio ntawapa jibu soon
Kuangalia salio NMB mobile gharama ni 354.Kuna jamaa,anahitaji kujua....Makato ya dirishani ukitoa hela
Naona ushajibiwa...Alafu hivi makato ya kutolea hela dirishani ni shilingi ngapi kwa NMB?
Poa poa
duuh mi mpaka leo najuaga kutoa dirishani ni bure!!