NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Hao jamaa binafsi sina imani nao kabisa.

Kwenye account yangu nilikuwa na almost 30k, ila nilihitaji kudeposit amount nyingine then nifanye transfer kwenda another bank.

Kwavile transfer kati ya bank na bank kuna makato huwa wanakata, so nikaenda kuconfirm salio kwa mhudumu wao (nmb) before sijadeposit. Nikamuandikia namba fresh. Yule teller akaniandikia salio langu kwenye kikaratasi alafu akanipa huku ananiangalia jicho flan hivi la kuibia. Kuangalia, salio linasoma 13k.

Nikatoka pale mezani kwake, ikabidi nimuulize mdau mwingine kama teller anaweza hamisha salio.

Binafsi mpaka leo naamini kuna uhuni walinifanyia.
duh pole mkuu....wana mbinu za kutuibia hawa si bure
 
Kwa anayejua wanakokotoaje makato hasa kwa NMB-Mobile ukiangalia salio.Maana nilikuwa na salio la Tshs 350 kwenye simu,kuangalia tu salio kwa nmb-mobile mara moja nimebakiwa na Tsh 44.65 dah...Na kule akaunti sijui wanakata ngapi?...Pili: Kwa nini,mteja akitaka kujitoa Nmb -mobile wanagoma.?
tupa line
 
Sasa ww nae 400 ulikua unajua kabisa imebaki unauliza salio.

Ukiwa na milioni humo itakuwaje, wacha wakulambe maana unasumbua tu
 
Sasa ww nae 400 ulikua unajua kabisa imebaki unauliza salio .
Ukiwa na milioni humo itakuwaje, wacha wakulambe maana unasumbua tu
Hujanielewa,....sh 350 ilikuwa ni salio la vocha kwenye cm,nikaingia nmb-mobile kuchek akaunt yangu kuna kias gan.

Nimemaliza kuangalia akaunt,narejea kuangalia kavocha kamebak sh ngapi? nakuta ni 44.65 salio vocha.Ndio kuja apa kuomba msaada
 
Labda nirejee swali langu tena....Nataka kujua ukiwa na vocha salio,eg sh 500,ukaingia nmb-mobile akaunt,kwenye vocha wanakata sh ngapi kwa muamala mmoja wa kuchek balance bank?
 
Dah inawezekana walishaongeza maana sijui hata nakatwa ngapi, kama kunila washanila sana tu.
 
Muda wa maongezi kuibiwa/kupotea ni tatizo sana ukiwauliza utapewa majibu ya ajabu...
Nilichojifunza,...Mitandao ya simu,ukiingiza vocha bila kuunga kifurush,salio linapungua kila dakika....Wanaiba.Wanatufosi tuunge bando....Hatari sana.Kama mimi tu nimepgwa 300 je, tukipgwa wateja 1,000,000 jumla sh ngapi? dah
 
Back
Top Bottom