NMB sina hamu na ninyu tena kwani kwa hapa Dodoma nawakomoa
wateja waliohamia kiba Benki (mkidhani wanamfuata meneja wenu wa zamani) wakirudi tu mnawalima faini.
Nina Current a/c (cheque book) nikapata matatizo binafsi ya mahakamani kwa hiyo mihangaiko sikuweza ihudunia hiyo a/c yangu zaidi ya mwaka na nusu siku naingiza cheque ya ndugu yangu aliyedhamiria kuninyanyua mkanilima 320,000/=
kama ada ya kuoperate hiyo a/c na bado mkanilazimisha kununua kitabu kingine.
Nilipotaka kumuona Meneja wa Tawi hilo la Dodoma Bw K nikajibiwa vivyo hivyo kuwa wataendeshaje a/c bila kukata pesa @10,000/= service charge nk?
Kilichonishangaza Mwenzangu mfanyabiashara ni mpaka leo hakatwi hizo gharama na anaweza maliza hata miezi 6 na aendapo NMB hakatwi chochote
rani zenu wa CRDB hawana adhabu hizo EQUIT Benki hawachaji gharama zozote kwa anayeweka feda huko AKIBA ndio kabisa hawakati ila kiwango chao cha chini ni 20,000/=
Adhabu hizo punguzeni kwani najua ndio Benki inayotumiwa zaidi na Serikali Kuu na Serikali za mitaa lakini ipo siku tutwakimbia kwani biashara ni huria na si lazma kufanya na serikali.