Mtali
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 3,660
- 2,932
afu imekaa kama kibiashara...maana ukiwa na tatzo wanakwambia uwajulishe katika emails zao...cyo kuimwaga hapa na kuitolea ufafanuzi ka wafanyavyo vodacom...
Matumaini yangu Mods wataona haya mapungufu na kuifutilia mbali..
Watakuwa walikuwa wanapima upepo. Sasa aliyeileta atakuwa ameona ina mtafuna mwenyewe.