Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,263
nafikiri jamaa waliofungua huu uzi wamesimamishwa kazi...si unajua msemaji ni mzungu!!!
hali imechafuka
hali imechafuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu nchini kote, NMB inafanyia uchunguzi maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki dhidi ya wafanyakazi waliotajwa na wengine wenye tabia kama hizo.
Ndugu wana jukwaa, NMB inajipambanua kwa kusimamia maadili moja wapo ikiwa ni uaminifu kwa wafanyakazi wake.
NMB pia inapenda kuwa hakikishia wateja na jamii kwa ujumla kwamba itaendelea kusimamia sera zote za benki ikiwa ni pamoja na kutovumilia wafanyakazi wasio waadilifu.
Kama kutatokea umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: http://www.nmbtz.com
2. Kupitia e-mail maalumu: whistleblower@nmbtz.com
3. Kwa posta Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu (Bahasha iandikwe Siri)
Makao Makuu ya NMB,
P. O. Box 9213,
Azikiwe/Jamhuri Street,
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu zifuatazo:
0658 751 000 Tigo
0779 751 000 Zantel
0685 751 000 Airtel
0800 751 000 Vodacom
jamaa anapiga kazi mpaka raha
yaani mchangamfu kwa mweli mwasandube hongera sana
mi nkifika yaani nkimkuta naenjoy sana the guy mzuri mnoo very responsible
ila mlokole yule anapiga maji kidogo
Kwani nani kakwambia kuwa watu wenye account NMB ni walimu peke yao?Huu ni mfano wa kuigwa. Taasisi zenye uongozi imara ziko hivi. Nakupendeni sana NMB. Nina akaunti kwenu (japo mimi si mwalimu) mwaka wa saba sasa. Na sijawahi kujuta.