mwandiga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 1,506
- 664
Nmb hongereni sana, naombeni mshughulikie idara ya mikopo kwenye matawi yenu. Maafisa mikopo wamezidi kuomba rushwa, hata mkopo wa laki tano anataka naye apewe chochote.
Pia baadhi ya watumishi wenu kutaja salio la mteja tena baa akiwaeleza wanawake sio jambo jema kabisa.
Mimi nilishuhudia hili na ikaniuma sana. Kusema mshahara wa mtu unaoingia benki baa sio maadili ya mtumishi wa benki hata akiwa amelewa hapswi kufanya hivyo.
Pia baadhi ya watumishi wenu kutaja salio la mteja tena baa akiwaeleza wanawake sio jambo jema kabisa.
Mimi nilishuhudia hili na ikaniuma sana. Kusema mshahara wa mtu unaoingia benki baa sio maadili ya mtumishi wa benki hata akiwa amelewa hapswi kufanya hivyo.