NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

Imenichukua 3 weeks na bado hela hazijaingizwa wakati nimetimiza kila kitu. Magomeni branch Dar es salaam mwangalieni sana Joyce wa sehemu za miko
 
aise naomba kujua gharama za kuwa wakala wa nmb pamoja na faida zake
 
Hawa NMB wako ushingishi achaneni nao. Kwani benki ni moja ?
 
Huduma zenuu ovyooooo nimejiunga na NMB mobile lakini sipati chochote kinachoendelea

Miamala kupitia simu inashindikana nimewaeleza Sana lakini Hamna msaada wowote

Hata hili naamini mtapuuzia
 
nyie NMB mnaubia gan na loan board...mwezi uliopita nilienda kurenew nmb mobile password mana nilikua nimesahau cha ajabu si mkapeleka jina langu loan board ghafl nashangaa nakatwa pesa....kwanza aliewaambia mpeleke jina langu nani? acheni usenge maisha yenyewe magumu haya..pumbavu kabisa nyie
 
Mi naomba wimbo wa tangazo la WAJIBU.. nina mdogo wamgu analipenda sana hilo tangazo kwa wimbo wake
 
duuuuh. . . . NMB jamani mbona mnaniangusha?
 
duuuhhh . . . . sasa mkuu makato ya huo mkopo wamekuambia yatadumu kwa muda gani? mikopo hizi benki za Tz duuh . . . pasua kichwa
 
Kuna umuhimu wa kuanzisha Uzi wa kuzungumzia maswala yanayohusu Taasisi za serikali. Maana kuna watu wengi warioajiriwa wanajiona kama miungu watu
hili nalo neno, . . . . . mods anzisheni uzi wa mada tajwa hapo juu
 
NMB mshirika wetu kwenye kuuza huduma ya umeme na malipo mengi tupo pamoja
 
Tawi la kariakoo mnaboa sana yena mno tena vibaya vibaya......Teller ziko 4 au5 lakini uyakuta Cashier mmoja au wawili mnaboa sana itakuta wanamuacha Wakala ndio tuweke au kutoa .....sehem kama ile inabid mue shap kusiw na folen, si chini ya mala moja nimeghaili folen kubwa
 
Duuuuhhh .....kuna siku nilikaa natoa laki 5 ikawa inakataa niliangaika sana baadae namuuliz wa pembeni yangu akaniambia toa laki nne na nusu alafu utoe elfu hamsini ujue nikashangaa sana kwa nini?.....nazan wapat faida c kila ukiw unatoa unakatwa percent ila sikuoenda hata kidogo
 
Ndugu wapendwa ningependa kufaham mambo muhimu/Msingi ya kuzingatia hasa baada ya kufungua hii Fixed Deposit account

Je?
1. Unapewa mkataba baaada ya kuifungua ya kiasi cha pesa ulichoweka Na utakachopata?!

2. Endapo kama ikifika Muda let say 3 monthes after depositing Na hawaja kuongezea io RIBA taratibu ni zipo

Naomba wataalam wanisaidie Na vitu vingine zaidi

NB: kama hujui subiri tuje kujuzwa Na wanaojua kuliko kupost Mambo mengne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…