Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AHAHAHAAAAAA . . . . kwa nini mkuu? na unatumia branch gani? naomba unipe updates mkuu nataka wa mteja wa NMBBank ya hovyo kuwahi kutokea duniani
nyie NMB mnaubia gan na loan board...mwezi uliopita nilienda kurenew nmb mobile password mana nilikua nimesahau cha ajabu si mkapeleka jina langu loan board ghafl nashangaa nakatwa pesa....kwanza aliewaambia mpeleke jina langu nani? acheni usenge maisha yenyewe magumu haya..pumbavu kabisa nyie
Bora tujibiane wenyeweHawajibu chochote
Mimi kwenye ku upgrade kutoka chap chap kwenda Personal savings account, waliniambia ili niweze upgrade inabidi niwapelekee barua za mwenyekiti na mtendaji sijui,nyie NMB nyie sina hamu na nyie kabisa nlifungua account chap chap baada ya kuambiwa account ya mwanzo imefungiwa sasa namba yangu simu hamjaifuta toka mwezi wa saba mpaka sasa hivi haijafanyiwa chochote na yale mabarua mlionisumbua kuandika
Faida zake, ukiwa na mkopo wa loan board huwezi kufanya top up kwa hiyo ukihamishia Nmb unakuwa mkopo wa kawaida hivyo unaweza kufanya top up.Bora tujibiane wenyewe
Nauliza swali huu mpango wa nmb kununua madeni ya bodi ya mikopo helsb je unawasaidiaje watu au faida zake ni zipi?
Yani nmb wakinunua deni langu Mimi napata unafuu gani?
Hata Magomeni wanazingua hivyovyo.Jana nimeshinda pale.Tawi la kariakoo mnaboa sana yena mno tena vibaya vibaya......Teller ziko 4 au5 lakini uyakuta Cashier mmoja au wawili mnaboa sana itakuta wanamuacha Wakala ndio tuweke au kutoa .....sehem kama ile inabid mue shap kusiw na folen, si chini ya mala moja nimeghaili folen kubwa
Bora nyie mnaotokea hapa jukwaani kwa ajili ya kukidhi kiu ya maswali na ushauri kwa wateja wenu
Maana wenzenu NBC wako hoi kitandani na hawana hata habari juu ya yale yanayoandikwa kwenye mitandao juu ya benki yao
Hongereni sana kitengo cha mawasiliano kwa umma NMB kwa mrejesho huu mnautupatia, Hakika nyinyi ni wadau wa kweli katika maendeleo ya taifa hili
Natamani taasisi zote zikaiga mfano huu
HEKO NMB HEKO TANZANI
Hivi nyie watu wa jf haya masuali yenyu huwa mnajibiwa au mnajijibu wenyewe?
Salaam Radavi,Maeneo ya tazara kama unakuja mjini unakutana na atm moja eneo la kamata katikati ya mataa njia panda ya veta na ya kamata. Je hili ni sawa katika kutoa huduma kwenu mbona wenzenu wametapakaa njia nzima haswa kwa ma maduka makubwa