Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba kujua kama kuna gharama zozote kujisajili na NMB mobile.Salaam Radavi,
Tunajitahidi kukufikia kwa kuweka huduma mbadala za NMB Wakala na NMB Mobile karibu yako zaidi kuwezesha kufanya miamala ya kifedha kwa urahisi.
Salaam,Naomba kujua kama kuna gharama zozote kujisajili na NMB mobile.
Na gharama yake kwa mwezi mnakata shs ngapi kuwa kwenye hiyo huduma
Pole sana, una akaunti ya aina gani? na ni mara ngapi unaomba huduma hii. Tunaweza kukusaidia zaidi kupitia PM, karibu sanaHuduma ya salary advance imekataa kufanya kazi kwangu na mshahara wangu unapitia NMB Bank tatizo ni nini ? .
Na ukiangalia kiwango unachostahili kukopa inakuonesha vizuri kabisa
AsanteSalaam,
Hakuna gharama za kujiunga na NMB Mobile na pia haina makato kuwa kwenye hiyo huduma. Karibu sana.
Hongera sana mkuu, unajua hata mimi baada ya kuweka hii thread nimekumbuka hawa jamaa asante sana na nilikua nataka nizame pm.
hiyo laki tano kama umetimiza vigezo au vipi na kwa mkopo wa shilingi ngapiUnataka kutoa Rushwa upate mkopo??
Ni laki 5 kwa loan officer
Ukijibiwa nitaghiyo laki tano kama umetimiza vigezo au vipi na kwa mkopo wa shilingi ngapi
Haijarishi vigezohiyo laki tano kama umetimiza vigezo au vipi na kwa mkopo wa shilingi ngapi
zeshchrissHaijarishi vigezo
"Rushiwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushiwa" Hii ilikuwa ahadi ya Mwana TANUHabari za majukumu wakuu..
Niende moja kwa moja kwenye mada.. Naomba kwa mwenye kufanya kazi nmb au mwenye mtu anaefanya kazi kwenye hiyo bank ani PM maelezo yote nitampa huko na akiweza kunifanyia kazi yangu nitampa chochote. Nawakilisha...