Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 771
Hiv malalamiko tunayotoa mnayafanyia kazi au unatizama tu Na kuacha kama ilivyo kama unayafanyia kazi mbona hatuoni mrejesho.Hii inaziilisha kuwa huduma zenu mbovu hata kujibu humu unaitaji kujiandaa
Wayafanyie kazi kwa lipi?
Ushaina hata admin wao akijibu hata msg moja hapa? Mshahara wanaopata kwn bank ya baba yao hiyo,
Wewe unafanya kazi kazura mimba halafu unaleta nyodo, sana sana watakufungia ki acc chako cha tgs d na mikopo ya Bayport ya kutosha ufuate mshahara kigoma mjini ndio akili itakuingia.
Chezea bank za bongo wwe!