Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watoe mandinga na cc 2jidai
Daah hatariMsisina JANA NILIWAFATA WANIPE MKOPO WA 6M, WANAULIZA NINA LESENI,TIN,OFISI,TRA CLEARNCE FORM
nikajibu hivyo vyote Sina Ila
Nina dhamana isiyohamishika na wadhamini wapo na Nina uwezo wa kurejesha hiyo pesa.WAKASEMA SIWEZ KUKOPESHWA NIKASEMA ok NIKASEPA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]NMB plz Mshahara mnatuwekea saa ngapi??
Wanajitia hawaoni. Ngoma ilibidi iingie Ijumaa ila ona jumatatu sahivi saa 5 Dry.NMB plz Mshahara mnatuwekea saa ngapi??
Kutukana na upumbavu uliopita viwango vya ushenzi. Unaowatukana wengine ni baba na mama zako. Uwe makini.Hivi nyie mmeondoa huduma ya salary advance?
Pumbavu nyie hamueleweki
Duh hatari sana hii mkuu. Lakini na sisi wakopaji tusilete janja janja sana. Tulipe tu mikopo ya benki.NMB wana kamtandao kao flani wa matapeli wanaowadhulumu watu nyumba haswa kwenye mikopo. Wanasema hao maofisa wanacheza sana na wanunuzi au court brokers mwisho wa siku wanapotezwa. Nina kaka yangu anakaa maeneo flani hivi sitaki kutaja jina, wamezika jirani yao juzi kwa michezo hiyo. Kuna maofisa wa bank walitafuta mtu wa kununua nyumba ya mnada wakazuga zuga kwa kutumia court brokers wakapindisha taratibu ile nyumba ikapigwa mnada wakadhulumiwa. Yule waliemdhulumu alisema ameonewa kila akifungua kesi mahakamani wanampindishia. Trailer likaanza mmoja wa afisa wa nmb aliewachorea ramani hao matapeli alizama na boti na akanusurika kufa tanga hata miaka miwili haijaisha, mwengine alizika mtoto, akafata mzazi wake na mke aliugua sijui kama kapona, mwengine alieshiriki alivunjika miguu. Naambiwa huyu alienunua nyumba amezika ndugu mmoja aliewahi kukaa kwenye hiyo nyumba na kila siku matatizo hayaishi humo ndani. Ndo juzi kaka ananiambia walipokua msibani minong’ono ni mingi. Nikasema kama bank wanacheza michezo ya kudhulumu watu basi wataisha aisee. NMB fatilieni sana maafisa wenu