mjizu123
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 349
- 369
Hii ni kweli sipingi ata mimi yamwnikutaNiliwahama kitambo kwa wizi wao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni kweli sipingi ata mimi yamwnikutaNiliwahama kitambo kwa wizi wao.
Account ikikuwa 70000 baada ya siku mbili bila kutoa pesa ikabaki 23000 sijui mpaka leo hiyo pesa wameipeleka hakika NMB Mungu anawaonaNMB Tanzania ni kwanini mmeacha kutuma electronic bank statement za kila mwezi kwenye email.
Kuna uhusiano wowote na huu utaratibu mpya wa kukata tsh 5300 bila maelezo yoyote?
Hata uzi wao waneukimbiaAccount ikikuwa 70000 baada ya siku mbili bila kutoa pesa ikabaki 23000 sijui mpaka leo hiyo pesa wameipeleka hakika NMB Mungu anawaona
Ccm ni shetani!Acha kbs Mimi CRDB nilitoa pesa nikakuta 22,000 imekatwa.
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
NMB......Nasubiria jibu....au hata jibu hadi mwezi mwingine tena ?Kindly....naomba kujua je inachukua muda gani ..KUTUMIWA ID password ya NMB wakala kutoka Makao makuu baada ya taratibu zote kukamilika katika Branch....maana ni karibu mwezi sasa hatujatumiwa !
Ndio! NMB wakishirikiana na makampuni ya simu wangeweka utaratibu wa kuondoa hii kero kwa kuingiza gharama hizi kwenye salio LA mteja (I mean hiyo tozo ya sh. 100 ikatwe kwenye salio .je ikiwa nitahitaji huduma hii nikiwa eneo ambalo halina duka LA vocha itakuwaje?Kweli jamani?Jambo hili limeleta kero kubwa.
Mtu unataka kununua salio la simu au kununua umeme lakini unatakiwa kuweka salio kwanza.
Una pesa kwenye akaunti lakini unalazimishwa utembee kwenda dukani kununua vocha y kukwangua ya sh.500/=.
Huku ni kuturejesha kwenye analogi.
Hiyo ni siri ya benki, vyoo vipo ila ili wateja waruhusiwe kuingia huko vyooni ni lazima waongeze askari badala ya kuwa wa 2 lazima wawe wa 3, unadhani benki iko tayari kuongeza hizo gharama? Benki ni wachumi sana, je ulishawahi kuona mtumishi wa benki anaenda kununua mahitaji ya benki? Mfano karatasi, peni, toilet paper, wino nk. Je ulishawahi kuona afsa ugavi wa benki hapo ulipo?BANK YA NMB WILAYA YA NEWALA HAKUNA VYOO VYA WATEJA.
MIMI NI MTEJA NIMEULIZA KWA ASKARI / MENEJA HAPA NMB WAMENIJIBU HAKUNA VYOO VYA WATEJA. WATU TUNAKUJA KUPATA HUDUMA KUWEKA NA KUTOA WAKATI MWINGINE FOLENI TUNAJISAIDIA WAPI?
WAHUSIKA LIFUATILIENI HILO.
Nenda tawi lolote lililo karibu na ww,akiwa na number yako ya NIDA watakupa fomu utajaza then watakuhamisha ,.Hàbari Naomba kufaham jinsi ya Kubadilisha account yani kutoka Chap chap hadi kumiliki card ya master Card plse
Mbona hamnijibuHàbari Naomba kufaham jinsi ya Kubadilisha account yani kutoka Chap chap hadi kumiliki card ya master Card plse