No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

Hapo offence haiepukiki jiandae kisaikolojia kushambuliwa na feminististstism
 
Maajabu mabinti wenu mnawasomesha mpaka elimu za juu ila mama zao mnataka wasisome.
Dunia ya leo hivi ni ya kusifia mwanamke ambae hana elimu?
Tunatarajia baada ya haya basi na mabinti zao wasiwapeleke shule tena. Lasivyo watakuwa wanajilisha upepo tu.
 
hebu kaone haka 😂😂😂Wanawake tumeumbiwa sisi na tulipoambiwa tuishi nao kwa akili ww huna akili huwez ishi nao we baki kulialia wakufulishe mpka chupi
Amna kitu hapa, unaandika kuifurahisha jf.
Nimekumbana na comment yako mahala, nikajua wewe ni moja ya watu wasioishi uasilia wao hata hapa tu jf ambapo hata ukiwa real hakuna akujuae.

Jifurahishe.
 
Amna kitu hapa, unaandika kuifurahisha jf.
Nimekumbana na comment yako mahala, nikajua wewe ni moja ya watu wasioishi uasilia wao hata hapa tu jf ambapo hata ukiwa real hakuna akujuae.

Jifurahishe.
Kumbe comment😂😂😂😂
 
Wanawake wote ni sawa linapokuja suala la mapezi ya dhati...hakuna cha nshomile but no course Wala nini! Cha muhimu mpe "utulivu wa moyo" basi Kwa maana ya utulivu wa moyo
 
Naona unapingana na nature ,Rudi hata kwenye maandiko,cheki quraan inavyomtaka ke aishi. Ukweli Ni kuwa ke akiwa na power hapakaliki.
Nikuulize uliona wapi ke akamlisha mmewe maisha yake asichonge kwa wenzake kuwa anao mzigo. Sie tunawalea Kama wanetu Ila Hakuna kuongea sehemu.


Unabisha ukweli. This is nature you can't argue with nature. Kuwa why things attracted towards Earth's surface.


Yaani this is nature. Tokea middle , first Stone age ulikaa ndani me alienda kuwinda. Huna hand muscles to tackle difficult. Mbona unaongelea kuwa wanetu watalishwa ujinga.


He Bibi yako hakuwalea baba ama wazazi wako mpaka wakakuzaa kwao Ni nature kulea. Hata kuku analea watt mpaka wanajitegemea na Hana degree kuandika a hajui.

Mie nawacheki oeni Ila mnaugulia maumivu ndani kwa ndani. Hajakuambia hii wiki nzima Kuna safari ya kikazi anasafiri na huku yupo bagamoyo ama zenj anaenjoi na mashine mpya kabisa anailamba Tena kumeza mate Mana Ni tamu.



Watu huwa hatujui kitu Ni kizuri mwanzoni tu Kama hunacho ama hujakipata jamani ili tukubaliane Ila ukishakipata unaona Ni kawaida ndivyo hata wewe anakuona Mana ameshajua pigo zako zote umemaliza .

Tubakubaliana ukinunua gari mwanzoni utakuwa unaliosha kinyama ling'ae ,nyumba mwanzoni itakuwa Safi mno,na mapenzi pia mwanzoni yatakuwa Ni matamu mno.

Gari hutoi lift itachafuka baada ya mwaka utampati mtu aendee misele, nyumba utaanza kuiona ya kawaida unataka kujenga ingine.



Sasa iyo Hali ikimfikia nakuambia ndio utaliona rangi kuwa sio white or black Bali Kuna rangi nyingi ambazo zipo kwenye rainbow zote utaziona.
 
Maajabu mabinti wenu mnawasomesha mpaka elimu za juu ila mama zao mnataka wasisome.
Dunia ya leo hivi ni ya kusifia mwanamke ambae hana elimu?
Aunt nimekumis sanaaa, nakuombaaa PM plz.
Bora nimekuonaa hapa, nakuombaa ukuje seriously!!

Mie inagomaa kwangu hadi uanzee wee. Nakuombaa uje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie wasumbufu maana hata kusoma sms ya simu tu!mtihani mzito!nyie mnafaa kuwa mabeki tatu,kuingia chumbani kwa tajiri siku moja moja, mama akiwa amesafiri au akiwa amesusa kwa muda ameenda kwao!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna dhambiii uwiiiiih.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mna dhambiii uwiiiiih.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] somesha watoto wako wa kike! Kama huna mtoto wa kike basi jichangeni kama ukoo muanzishe mfuko wa ukoo,kila mtu mzima kwenye ukoo wenu atupie chochote,msomeshe wale wasio na uwezo kwenye ukoo wenu! Mabinti wasio na elimu wanateseka sana! Na watafanya kazi za aibu na za masononeko!ni bora mke msomi lakini jeuri,kuliko binti mpole asie na elimu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaaah, ila kweli eti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kaukweli hapa ujue
 
uko sawa kabisa mkuu
 
[emoji1][emoji1][emoji1]kwahiyo unatuchora sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…