No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

Mleta uzi unamaanisha wazazi wasipeleke watoto wa kike elimu ya juu kisa ndoa watakuwa na kiburi kwa waume zao?
 
Shida ya wasomi ni kujifanya feminists uchwara. Anaona kumheshimu mumewe ni udhaifu...na ni nadra kwake kujishusha.
View attachment 2460359

Ni wanaume wachache sana wanaoweza kukaa na mwanamke mwenye dharau, ego, maneno mengi na uanaharakati. Na zote hizi ni sifa za hawa wasomi.

View attachment 2460366

Halafu kumbuka hawa wasomi wanakuwa wameolewa huko vyuoni na vianaume vyao uchwara kwa miaka miwili mpaka mitatu. Yaani wameishi kinyumba kabisa vijamaa vikila na kupakua for 2yrs+ na baadaye kutemwa na vijamaa vyao. Wengi wao tayari wana makovu na maumivu makali ya kisaikolojia ya kuchezewa miili yao kwa miaka yote hiyo halafu wakatemwa. Ndo hawa utawasikia eti wanaume wote mambwa. Mwanamke wa aina hii (mke wa mtu aliyetemwa kibabe) atakuwaje mke mwema? [emoji15][emoji15][emoji15]

Labda ubahatishe sana!
Hapo umesema ukweli kwa asilimia kubwa sana
 
Umejibana kwenye kaeneo kadogo sana. Sidhani hata mleta mada anakereka na mwanamke kutafuta. Wapo wanawake ni watafutaji lakini wamesimama katika zamu zao kama wake wema na mama bora wa familia.

Kama ni mwanaharakati uchwara hata awe mama wa nyumbani moto ni ule ule tu. Pulizi usijaribu kuudogosha mjadala huu kwa kutaka kuuondolea mawanda yake mapana ya kimalimwengu maana hata Ulaya na Marekani usomi na uanaharakati huu wa haki za kijinsia ndiyo umechangia kuisambaratisha taasisi ya ndoa na familia.
We unazani kuwa na hela ni raha😂😂dharau zinakujaga zenyewe tu ata kma hukuwaga nazo we mwanaume ndo unatakiwa ufight usioe anaekuzidi ata kma ela, maarifa jitahdi uwe umemzidi ata kidg
 
Nimegundua vijana wengi wakiume hawajiamin (Inferiority complex) ndio mana mada za kuwakandia wanawake wasomi haziishi kwa sababu wanataka kuishi na mwanamke ambaye hatowakosoa kwa chochote, inakuwa kama amemmnunua, maisha hayako hivyo mwanamke ni msaidizi wa mumewe anahisia na yeye ana haki ya kutoa maamuzi au maoni sio kila kitu akubali hata kama anaona kina walakini, mwanaume unawajibu wa kusikiliza maoni ya mke au mchumba kama nawe unavyosikilizwa, usiishi mwanamke kibabe ili akutii.
Haukatazwi kutoa maoni nnakusikiliza maoni yako kama nnaona hayafai utafuata nilichokwambia hutaki ndio ujuaji tunaosema kwenye nyumba mnakuwa km wanaume wawili.
 
Haukatazwi kutoa maoni nnakusikiliza maoni yako kama nnaona hayafai utafuata nilichokwambia hutaki ndio ujuaji tunaosema kwenye nyumba mnakuwa km wanaume wawili.
Unauhakika gani kuwa maoni yako ndo mzuri mana unaweza kulazimsha wazo lako lifanyiwe kazi mbeleni ukaja kujutia mi nadhani hekima na busara ndo inatakiwa itumike zaidi.
 
Asante mleta mada kwa mada nzuri sana na fikirishi. Siwezi kukataa ama kukubali hapa maana nina mifano nimeiona kadhaa inayopingana na kukubaliana na hii mada.

1. Kuna dada kutoka green city..aliolewa mwaka 2017 mwishoni. Yeye si msomi ameishia form four..lakin alishafanya kaz za ndani huko uarabuni. Ameolewa akiwa mkubwa kidogo. Leo ndoa imeyumba na sina uhakika kama bado ipo maana mume anafanya kazi Moshi na yeye yuko hapa Bongo. Kwa jinsi nilikua namfahamu..ni mdada flan asiyekubali kushindwa, ana kaujuaji flan ivi afu..akiamsha shari mtaani watu mnasanda..sasa sijui ndo huyu mwanaume aliyaona haya..akasepa, am not sure.

2. Huyi ni mtu wa karibu yangu kabisa. Yeye kaishia la saba..akaolewa. Wakapata na mtoto. Lakin alikuaga ana kinywa kichafu sana kwa mume wake. Kweli mume alikua mlevi lakin alikua akirudi nyumbani..anaisoma namba. Na huyu ndugu yangu, yeye alikua anachepuka sana..tena na vijana wadogo sana kuliko yeye..tena anawapeleka nyumbani kwake... Hii kitu ikamchosha yule mwanaume akaamuaga kurudi kwao..naongelea watu waliokua wakubwa sana.

3. Huyu ni mwanamke msomi. Ni mwalimu wa primary..ameolewa na kupata watoto wanne. Ndoa ina miaka 17..mume wake kuna kipindi alikua mkorofi..anampiga, anafukuza ndugu wa mke..na huku wa kwake mke anaishi nao vizuri...kuna muda hamjali..lakin huyu mama aliweza kusurpass hayo yote. Mpaka leo ndoa iko vizuri tu..ila ndo kavumilia shits nyingi sana ambazo watu wa nje tu tuliziona..sembuse humo ndani...

4. Hii ndoa imekaa miaka 18...ni ya mama msomi sana. Lakin ndoa mpaka leo inataradadi vizuri na yule mama kwa sabbu kaolewa na mtu wa green city..ni full magoti. Yani anashukaga kwenye Fortuner yake..akimuona tu her husband..anamsalimia goti mpaka chini, hata akimpa maji tu..goti mzee.. she inspires me a lot. Ni mtu wa kusali sana..inshort she inspires me kwa mengi. Ila ndo submission at best..

Ninachoona kwenye hii mada.. ni kwamba kuna namna wasomi hushindwa kuderive submission from their education..iko ivyo. Yani kuna ile namna unakosewa..na mume...tena sana tu..na una fedha..lakin uchague kutulia na kumheshimu, na kunyenyekea hata kama una milion 100 benki.. kuweza?? Leo unapigwa..kisa mume kalewa, ama umemuuliza alikotoka na hajakujibu, ukaporomosha maneno...na akakupiga..kesho uamke..umnyenyekee tena umuheshimu na uende kazin hamna kutoa report kokote tena unyamaze...unaweza??

Lakin wanaume..nyie ni baba zetu..nyiny ni viongozi wetu..mke unamuona ana mafanikio na mnapendana..unapokosea na akakuuliza labda vibaya kwa sabbu ya hasira..mchukulie kama kiumbe dhaifu...msipende kuwatesa hao mliooa kisa tu ni wanawake...wapenden basi..watendeen mema..na msihesabu kisa tu mnaona wana mafanikio..mnaanza kuhisi watawapanda kichwan anytime..stop being defensive everytime. This is a very complex subject...am open to hearing more...
 
Mwaka wa tano huu sasa, hakuna mba mba mba wala nye nye nye! Namshukuru Mungu.

Sijui ni kwanini ipo hivi, no offence pia kwa wanawake wenye degree zenu. Ila mimi nazungumzia sisi tuliooa form four na la saba, yaani kwa kweli, hata kama huyu mwanamke ana makando kando, ila life lipo poa sana, sio la kuforge.

Sielewi uhusiano wa mwanamke kusoma sana na kuwapeleka waume zao mzobe mzobe mwendo wa Ngiri

Ila kwa mifano hai niliyonayo, waliooa wanawake wenye degree na hawa career women hawa, kwa kweli wanaipata. Wale wanaume ambao walikuwa hawana emotional intelligence, ndoa zao nyingi tayari tumeshazizika.

Mahali nafanya kazi, ndoa tatu naziona na zimezikwa naziona kwa macho yangu.. Wanawake wote walikuwa ni so called educated na wenye career zao.

Kuna siri Mungu aliiweka hapa, ila nasisitiza tu, mwanaume kama huna emotional intelligence, mziki wa wanawake wasomi na wenye career zao, hautaweza kuucheza. Wewe kimbilia chap kwa wanawake la saba na form four.

Kwanza la saba na form four, ndani ya nyumba huwa hawaleti kujua, na hiyo sisi ndo wanaume hupenda... tunataka kuulizwa mambo...

Sasa wewe shawishika na hawa hawa career ladies and educated, kwanza mwanzoni wanakujaga kama malaika, kwa gia ya kutaka ndoa... Mwanzoni wapole sana!... miezi mitatu baada ya ndoa.. ndo sebene huwa linaanza .... alooooo
tumble una watoto wangapi babu. Half Kisaka 5 bado babu......
 
Binafsi sihusudu hiyo misimamo ya kiwaki na kizamani sana.
Utaja uawa/kufa kwa stress kwa kujifanya mwamba.

Wengi wenu mioyo yenu huwa inawaka moto balaa ila ndo hivyo mnataka kuonekana miamba , mnaishiaga pabaya kishenzi.
Ww usie na msimamo ndio utakufa kama kenge onyesha misimamo yako mwanamke anaekupenda na mliingia kwenye mahusiano mkiwa na jambo moja kupendana lazima afuate misingi ulio muwekea nyie walachipsi akili hazifanyi kazi ndio maana mwanamke wako akikaa na mwanaume mwenye sauti ya mamlaka anaona kabisa ww ni mjinga ndio nyie mnaambiwa hebu kaone kwakua mwanamke anaona huna mamlaka na nguvu juu yake.
Ninaposema mamlaka sio mpka upigane nae hapana ila kuna zile hisia na misingi unayomuwekea anajua hapa sio pa kuzembea
 
Mkuu watoto wako wakike hawatasoma hadi kupata degree? Au watasoma ila hawatoolewa?
 
Mwaka wa tano huu sasa, hakuna mba mba mba wala nye nye nye! Namshukuru Mungu.

Sijui ni kwanini ipo hivi, no offence pia kwa wanawake wenye degree zenu. Ila mimi nazungumzia sisi tuliooa form four na la saba, yaani kwa kweli, hata kama huyu mwanamke ana makando kando, ila life lipo poa sana, sio la kuforge.

Sielewi uhusiano wa mwanamke kusoma sana na kuwapeleka waume zao mzobe mzobe mwendo wa Ngiri

Ila kwa mifano hai niliyonayo, waliooa wanawake wenye degree na hawa career women hawa, kwa kweli wanaipata. Wale wanaume ambao walikuwa hawana emotional intelligence, ndoa zao nyingi tayari tumeshazizika.

Mahali nafanya kazi, ndoa tatu naziona na zimezikwa naziona kwa macho yangu.. Wanawake wote walikuwa ni so called educated na wenye career zao.

Kuna siri Mungu aliiweka hapa, ila nasisitiza tu, mwanaume kama huna emotional intelligence, mziki wa wanawake wasomi na wenye career zao, hautaweza kuucheza. Wewe kimbilia chap kwa wanawake la saba na form four.

Kwanza la saba na form four, ndani ya nyumba huwa hawaleti kujua, na hiyo sisi ndo wanaume hupenda... tunataka kuulizwa mambo...

Sasa wewe shawishika na hawa hawa career ladies and educated, kwanza mwanzoni wanakujaga kama malaika, kwa gia ya kutaka ndoa... Mwanzoni wapole sana!... miezi mitatu baada ya ndoa.. ndo sebene huwa linaanza .... alooooo
Nina mke; degree holder, mwaka wa saba huu, tunalingana umri, namzidi mwezi mmoja tu.

Msabato wangu hana shida; hana kando kando lolote mimi ndo nilishawahi kumliza miaka miatu iliyopita sababu ya mambo yangu.

Nilikutana naye almost 12yrs ago akiwa amemaliza form 6, badae kaingia Chuo kapiga degree ya Uticha, mwl na nidhamu tele

Ninafurahia maisha na huyu mwanamke, ni wife material; ana GPA kubwa kuliko mimi, ametoka familia ya kipato kikubwa kuliko mimi ila napewa heshima yote ya Baba wa familia, kitu hata kipo ndani ya uwezo wake atanisubiri nitoe go ahead.

She is beautiful, she is smart and so moralful.

Mungu mmbariki huyu mwanamke; wanawake wa kisukuma hata wasome vipi, wengi wao hawana mambo mengi. I LOVE THEM.

Mungu awabariki wanawake na wanaume waliooana na wanafurahia maisha yao.
Mungu awape wepesi na kuwasaidia wale kwa njia moja au nyingine wanahangaika kwenye ndoa, there is a hope in the dark tunnel.

NB: Ndoa si lelemama inahitaji uvumilivu na EQ kubwa sana hasa kwa wanaume.
 
Maajabu mabinti wenu mnawasomesha mpaka elimu za juu ila mama zao mnataka wasisome.
Dunia ya leo hivi ni ya kusifia mwanamke ambae hana elimu?
 
Ww usie na msimamo ndio utakufa kama kenge onyesha misimamo yako mwanamke anaekupenda na mliingia kwenye mahusiano mkiwa na jambo moja kupendana lazima afuate misingi ulio muwekea nyie walachipsi akili hazifanyi kazi ndio maana mwanamke wako akikaa na mwanaume mwenye sauti ya mamlaka anaona kabisa ww ni mjinga ndio nyie mnaambiwa hebu kaone kwakua mwanamke anaona huna mamlaka na nguvu juu yake.
Ninaposema mamlaka sio mpka upigane nae hapana ila kuna zile hisia na misingi unayomuwekea anajua hapa sio pa kuzembea
Propaganda za jf hazinaga uhalisia, tushawazoea watu kama nyie.

Msimamo gani labda unaouongelea mkuu!?? Hiyo mentality yako itakua inakuumiza sana ni vile hutaki kuonyesha kufeli kwake.

Mimi siwezi kuumia coz naamini mimi sio wa kila mwanamke, kuna type za wanawake siwezi date nao kabisa.

Sasa wewe papatuka na kila mwanamke ukidhani kila mwanamke umeumbiwa wewe.
 
Propaganda za jf hazinaga uhalisia, tushawazoea watu kama nyie.

Msimamo gani labda unaouongelea mkuu!?? Hiyo mentality yako itakua inakuumiza sana ni vile hutaki kuonyesha kufeli kwake.

Mimi siwezi kuumia coz naamini mimi sio wa kila mwanamke, kuna type za wanawake siwezi date nao kabisa.

Sasa wewe papatuka na kila mwanamke ukidhani kila mwanamke umeumbiwa wewe.
hebu kaone haka 😂😂😂Wanawake tumeumbiwa sisi na tulipoambiwa tuishi nao kwa akili ww huna akili huwez ishi nao we baki kulialia wakufulishe mpka chupi
 
Back
Top Bottom