Nobel Prize inamnyemelea Rais Samia

Hadi sasa hujagundua kwamba ulitoa maoni ya kizembe? Bado una matumaini na mtu huyu mzembe?
 
Tukupe wilaya gani kaka
 
Kwa Hali ngumu ya maisha iliyopo Sasa hiki unachokisema ni total rubbish sijui amekudanganya Nani au wewe unamdanganya nani
 
Kwa Hali ngumu ya maisha iliyopo Sasa hiki unachokisema ni total rubbish sijui amekudanganya Nani au wewe unamdanganya nani
Hii hali imeletwa na
Utawala dhaifu wa kikwete
Ushoga wa magu(nimekosa tusi zuri)
Corona
Vita ya russia na Ukraine

Hali ni ngumu dunia nzima na sababu mbili za mwisho ndo zinatajwa haziepukiki
Mama kakuta hakuna hela bot mwenda zake kachezea kwa kujenga maukuta ya Tanzanite mamiradi hewa kwa kutumia kampuni zake na washikaji zake ,magu aliiba hasa
 
Ile ripoti juu ya nn Hasa kilikuwemo Kwa KIBUBU wakati anaingia mbona kaikalia???
 
Zaws
Zawadi ya Mo Ibrahim wanapewa watu maskini.(Au nimekosea?) Una hakika huyu Rais ni maskini?
Let life unfold whichever way it wants to unfold. Usitazamie amani au Vita huko mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…