StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Duh! kwa spirit hii basi uhai wa CCM hatariniUmesahau yule OCD aliyerambwa mishale? Hatuwezi kuwaachia MAHARAMIA wa CCM waje kufanyia fujo Mawakala na kupora nakala za matokeo kama yalivyofanya kwenye mchakato wa Ubunge na Udiwani.
Hii kupita bila kupingwa lingetafutwa neno lingine walau itatusaidia kutotapika. Unapitaje bila kupingwa wakati wapo wanaokupinga? Labda semeni wameteuliwa na tume.View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda
CCM itashinda
Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;
Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;
Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Wewe kichwa chako kimejaa maji.Hivi mnavvowatia watu ujinga mitandaoni kwa kuwaaminisha mambo ambayo hayawezi kutokea,wapi mtaweka sura zenu baada ya matokeo ? Hivihivi mlibweka sana mitandaoni 2015 na kilichowapata ndicho kinawafanya mnapayuka ovyo ovyo mitandaoni mpaka leo akili zenu hazijakaa sawa..Hata kama mnalipwa,muoneeni huruma huyo anayewalipa.Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.
Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.
Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
Lowassa alipata zaidi ya kura mil 10 , aliyetangazwa alipata mil 3 .5 , kila siku siyo jumapiliWewe kichwa chako kimejaa maji.Hivi mnavvowatia watu ujinga mitandaoni kwa kuwaaminisha mambo ambayo hayawezi kutokea,wapi mtaweka sura zenu baada ya matokeo ? Hivihivi mlibweka sana mitandaoni 2015 na kilichowapata ndicho kinawafanya mnapayuka ovyo ovyo mitandaoni mpaka leo akili zenu hazijakaa sawa..Hata kama mnalipwa,muoneeni huruma huyo anayewalipa.
Huna lolote.kapata milioni 10 halafu anakuja kumpigia magoti Magufuli !Lowassa alipata zaidi ya kura mil 10 , aliyetangazwa alipata mil 3 .5 , kila siku siyo jumapili
angalia hii
View attachment 1598232
Je umeelewa chochote ? kama hujaelewa nirudie somo
Kwa kazi kubwa unayofanya kwa ajili ya mgombea wako Lissu ukijua akipata kura nyingi ni 10% , una haki ya kujifariji hapo kwenye keyboard yake kwa sasa kabla ya kushuhudia maumivu kwenye Sanduku la kura . Moyoni mwako unajua kwa uhakika unajifariji tu,ila ni muhimu sana kwako. Endelea hivyo, japo pole sana ndugu. Watanzania wameamua kwenda na JPMUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.
Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.
Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
Lissu anarudi tena huko kuwapanga upya. Ngoma inogile.Hii kanda ya ziwa unayoongelea inahusisha waliopokonywa pesa zao za rambirambi ya tetemeko na wale wa Geita waliochomewa nyavu zao? Maana hao ndio waliongoza kuikataa CCM hivi majuzi
una kiwango duni sana cha elimu !Hao walio liwa hela za rambirambi ni wangapi ?na na iyo geita waliochomewa nyavu ni wangapi? mnapiga hesabu za quadratic ambazo hatuzi apply in real life.
Mbumbumbu hata mkiwekewa ushahidi na wazazi wenu bado mtapinga, lowassa ana mipango yake ndio maana aliamua kula na kipofuHuna lolote.kapata milioni 10 halafu anakuja kumpigia magoti Magufuli !
Uko sawa huwezi kuwa unashindana halafu uanze kukiri kushindwa. Angalia mabondia na majigambo yao.View attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda
CCM itashinda
Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;
Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;
Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Kijiti achongacho mtu chaweza kumtoboa macho.Wanawake weusi ndiyo maadui wapya CCM imefanikiwa kutupata.
Usisahau ni makamu mwenyekitiEndeleeni kujifariji.ila Lissu baada ya uchaguzi mumtaftie nafasi pale manzese achome chapati za maji jioni.
Wewe wasema lakini ujue ziko nchi zenye mfumo huuIangushwe na na ni,Lissu huyu anayetaka kuigawanya Tanzania kwenye majimbo kwa maslahi ya mabeberu na anayetaka kuweka madini yetu poni,te,te,te,te,te,te,...........................
Mwambie mbona hivyo vingine havimsumbui. Kumbe ukisumbuliwa unatukana. Akutukanaye hakuchagulii tusi. Ila mwerevu atakuchagulia tusi ila hakutukani.bogus maana yake nini ? tuanzie hapo kwanza
Mkuu CCM inaondoka mwaka huu, atakayejaribu kuzuia ataondoka nayo. Iko hivyo.
Mwaka huu lazima akili zako zirudiView attachment 1597557
POLE SANA Kaka TUNDU kwa maumivu ya watu wasiojulikana-Mwenyezi Mungu akuponye na kukuinda
CCM itashinda
Kwasababu;
Mikoa ya Kanda ya ziwa pekee ina kura millioni 8 na Mkoa wa Arusha wenye Kura milion 1.5 CCM itachukua 90 with exception of Karatu na Arusha Mjini; Mikoa ya Morogoro na Dodoma yenye kura 2.5 milioni, 90% zitakwenda kwa CCM, Mikoa ya Sumbawanga,Katavi na Tabora zenye Kura 3.2 millioni, 85% ya kura hizo ni CCM;
Kwa facts hizi na kwa kuzingatia Numbers don't lie, CCM inashindwaje wakati bado inaungwa Mkono na inakubalika kwa wananchi? Ni maoni yangu kuwa NEC ikiwa imara kabias, bold na ikawa very transparency, CCM itashinda mchana kweupe na kila mtu atakubaliana na ushindi huo;
Wabunge 20 wa CCM wameshapita kwenye majimbo yenye karibia kura milion 2; sasa unawezaje kuwaza tu kuhusu kushinda kwa watu ambao hawana hata Kata 1 waliyoshinda huku CCM ikiwa na Kata zaidi ya 800 imepita bila kupingwa mathalani Misungwi Kata 20, Ngorongoro Kata 24, Singida Mjini Kata 5, Mlimba Kata 6 nk
Nyakati ni ukuta. Babeli ilitawala dunia nzima lakini mwisho ulipofika hakukua na namna it was erased on world historyUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa bila huruma.
Asikudanganye mtu yeyote , msingi wa ushindi ni kukubalika kwa wananchi, nimefanya uchunguzi tangu kampeni za mwaka huu zianze , ni dhahiri mgombea urais wa CCM amekataliwa na wananchi, hakuna mwananchi yeyote wa kawaida anayemfagilia mgombea huyu , wengi wa wanaomfagilia japo ni kwa shingo upande kabisa ni viongozi wa chama chake, wagombea wa chama chake na watoto wa baadhi ya viongozi ambao kuishi kwao kunategemea kudra za CCM, vinginevyo raia wengi ambao ni wapiga kura hawataki mtu huyu aongoze tena hata kwa wiki mbili, sababu kubwa ikitajwa kuwa ni umasikini wa wananchi na kukosekana kwa sera yoyote ya CCM inayonadiwa sasa ya kuwakwamua wananchi kuanzia kwenye Viwanda, biashara kubwa na ndogo ama ajira, Magufuli ameshindwa kabisa kuzungumzia ajira kwa vijana kwenye kampeni zake.
Tumaini kubwa kwa wananchi sasa limebakia kwa Tundu Lissu pekee , ambaye anasifika kwa kunadi sera zake za ajira na uwekezaji wenye tija kwa kiwango ambacho hata mwananchi mwenye uwezo wa chini kabisa wa elimu anaelewa, Lissu ameweka wazi kuhusu sera ya chama chake ya Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu kiasi cha kurahisisha mno ushindi wake, hofu pekee waliyonayo wananchi ni Wizi wa Kura basi.
Umeelewa swali au unajifanya Bashite?Kwani kila uchaguzi mnasemaga mmeshindwa kwa kura?? Si mnaliaga bao la mkono kila uchaguzi.......safari hiii mmejiandaaje maana tume bado ni ileile....kila kitu bado kipo constant kama zilivyokua chaguzi zilizopita.................sema tu naona mnatafuta sababu mapema za kujitetea baada ya kushindwa