Unaulizwa A unajibu C [emoji23]Kama umeanza hizo mishe kitambo Kwa nini umeshindwa kununua hiyo dege?
Machadomo Kila kitu ni kupinga.Role model wenu huko Zambia ameanza kuweweseka,mara alakamike kupinduliwa nk
Wa Kenya haeleweki anachofanya probably atakuwa one term president.
Huko Ghana walikoshinda Wapinzani pamoja na Katiba Mpya Nchi imefilisika [emoji1787][emoji1787], Katiba Mpya imeshindwa kuleta ugali mezani Kwa watu.
Kiufupi Wapinzani hususani nyie ndio hata na sera na msiojua mnachosimamia ni watu wa hovyo sana.
Kabla ya Samia nssf haikuwahi kuwa hivi ilivyo Leo 👇
Inahitaji akili za kindezi sana kuwaamini ccmKabla ya Samia nssf haikuwahi kuwa hivi ilivyo Leo [emoji116]View attachment 2762553
Ccm ndio inatia hizo takwimu? Wewe Baki na ujinga wako,kamuamini Mbowe.
Small minds discuss people...Ccm ndio inatia hizo takwimu? Wewe Baki na ujinga wako,kamuamini Mbowe.
Ni hesabu za kishetani kabisa hawa jamaaNabado hasara ya Bil330 kukaa kwa miaka 8 bila kuwa kwenye mzunguko.
Si walitangaza kuwa wanauza, wanunuaji ndo wamejitokeza sasaKapatikanaje?
Kwan vibaya? Hivi ingekua huko ulaya wana mind set mbov kama yetu wasingeuza timu zile kwa matajiri wa kiarabu. Nasema waarabu waje wanunue kila kitu kwan pesa wanayoWaarabu hao wanakuja kuwekeza kwenye real estate
Kweli ?Samia Suluhu Hassan the female billionaire of our age...
Ndo hivyo unaeweza kukuta ni collabo la nape ,mwigulu na makambaHuenda mnunuzi ni mtumishi wa umma chini ya joka la kijañi
Hauna hata, nyufa zinatokeaje ilihali pale palibak kufamya finishing tu ya milango na madirisha.Nyie endeleeni kuhoji mnunuzi kapatikanaje
Tena kwa jeuri ya hela ataipiga chini yote halafu aweke kiwanda
Huu mradi utakuwa una nyufa kibao kila jengo
Acha nitafute tenda ya demolitions tu
Tangu Dau atolewe mirad mingi ilisuasua shirikanMfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umesema hadi Oktoba 31, mwaka huu utakuwa umekamilisha hatua zote za uuzaji wa Mradi wa Dege Eco Village kwa karibu Dola 220 milioni za Marekani (zaidi ya Sh501 bilioni). Mradi huo uliopo Kigamboni, Dar unapata mteja ikiwa ni baada ya ujenzi wake kusimama kwa zaidi ya miaka saba tangu Januari 2016.
Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Mshomba leo Septemba 25, 2023 amesema Mradi huo umeuzwa kama ulivyo bila kumtaja mnunuzi kutokana na taratibu kubana, ikiwa ni utekelezaji wa uamuzi wa Bodi ya Mfuko na Serikali ili kurudisha fedha za wanachama zilizowekezwa awali katika mradi huo.
Kwa mujibu wake, hadi uamuzi wa kuuzwa mradi huo unafikiwa tayari ulikuwa umeshatumia zaidi ya Sh330 bilioni huku akieleza kuwa kwa mnunuzi waliyempata watakuwa wamepata faida.
Maneno ya mkosaj[emoji41][emoji41][emoji41]
Tangu Dau atolewe mirad mingi ilisuasua shirikanAlaumiwe Mwendazake aliyekwapua pesa za nssf wakashindwa Kuendeleza mradi
Mkuu umeuliza swali la msingi sana , manunuzi na mauzo ya kiserekali naamini yanakuwaga kwa uwazi na matangazo ktk sehemu husika.Achilia mbali kufichwa, lakini je huyo mnunuzi alipatikanaje?
For 7 years?Hauna hata, nyufa zinatokeaje ilihali pale palibak kufamya finishing tu ya milango na madirisha.
Una ruhusa ya kutafsiri utakavyoManeno ya mkosaj[emoji41][emoji41][emoji41]
Achilia mbali kufichwa, lakini je huyo mnunuzi alipatikanaje?