Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Makhuluku tabu hao....Wakati wenzao wapo bize kunadi sera Chadema wapo bize kuanzisha migogoro na Polisi alafu baadae wanatukana na kukashifu Walimu wanaosimamia uchaguzi eti ' wanatumika na CCM kuiba kura' zao.
Hii strategy ya migogoro kwa lengo la kupata public sympathy haijawahi kufaulu. Na ingine ni ile ya kutumia manabii,wachungaji na maaskofu uchwara kusapoti hoja zao.
Kwa mfano mgogoro upi unaousema?Wakati wenzao wapo bize kunadi sera Chadema wapo bize kuanzisha migogoro na Polisi alafu baadae wanatukana na kukashifu Walimu wanaosimamia uchaguzi eti ' wanatumika na CCM kuiba kura' zao.
Hii strategy ya migogoro kwa lengo la kupata public sympathy haijawahi kufaulu. Na ingine ni ile ya kutumia manabii,wachungaji na maaskofu uchwara kusapoti hoja zao.
Polisi washamchukuwa, wwsnamshikilia kwa tuhuma za jinai.Vitisho havijawahi nyamazisha wanaume.
Kwa mfano mgogoro upi unaousema?
"Injustice somewhere is the threat to justice everywhere."Wakati wenzao wapo bize kunadi sera Chadema wapo bize kuanzisha migogoro na Polisi alafu baadae wanatukana na kukashifu Walimu wanaosimamia uchaguzi eti ' wanatumika na CCM kuiba kura' zao.
Hii strategy ya migogoro kwa lengo la kupata public sympathy haijawahi kufaulu. Na ingine ni ile ya kutumia manabii,wachungaji na maaskofu uchwara kusapoti hoja zao.
Hamna hoja, kuipinga ccm siyo dhambi, CCM siyo dini kama unavyotaka kutuaminisha, umeacha hata kuswali kisa kuteka watu, Mungu si AthumaniKama hujuwi haukuhusu.
Boniyai alidhani Serikali ni Sawa na Makolo FC 🐼
Mnataka haki ila hamtaki mkufanyiwa hakiNilishasema siku nyingi sana ,mwafrika kumpa uhuru wa kuongea chochote atakacho kwa kisingizio cha demokrasia sio sawa .Denokrasia inatawaliwa na wapuuzi na wahuni kama Lema kushinda mitandaoni kushindana na serikali ni ujinga uliopitiliza aisee
Jeshi la polisi limetangaza maandamano marufuku.Hamna hoja, kuipinga ccm siyo dhambi, CCM siyo dini kama unavyotaka kutuaminisha, umeacha hata kuswali kisa kuteka watu, Mungu si Athumani
Tumekubaliana huenda siku hiyo ndio ikawa mwisho wa nchi hiiJeshi la polisi limetangaza maandamano marufuku.
Ingieni mitaani si mnajimwambafai nyinyi?
Sisi tutawachungulia youtube.
Huyu jamaa sijui kaandika nini aisee....!Sasa na wewe hapa mbona unaongea chochote utakacho?
Kwa hiyo na wewe tukukamate au?
Au umejitoa ufahamu hadi huelewi hata unachoandika?
Kweli wamechelewa sanaPolisi wamechelewa sana kwa hilo Boni ,mnyika,masese, Sativa na Mdude walitakiwa kuwa ndani akiwemo Mbowe
USSR
Kwani hiyo ni mara ya kwanza au wewe ni mgeni humuPolisi washamchukuwa, wwsnamshikilia kwa tuhuma za jinai.
Hakuna kitisho hapo. Tafuteni mawakili aakamtetee mahakamani.
Ni sahihi! AmezidiAcha wanyooshwe
Hamna cha ajabu hapo, kukamatwa na watekaji ni jambo la kawaida. Uzuri wameshindwa kumteka wakaamua kujifanya wamemkamata.Polisi washamchukuwa, wwsnamshikilia kwa tuhuma za jinai.
Hakuna kitisho hapo. Tafuteni mawakili aakamtetee mahakamani.
Kama ni majasiri hivyo bila kumiliki hata silaha, wakipata silaha itakuwaje?Mwanaume gani hata jeshi la mgambo haumiriki!!?
Ndio generali wa wapiGenerali Mwamwega amewashinda wamebaki kuhangaika na CHADEMA