NTOBI: Jeshi la Polisi wamefika nyumbani kwa Boniface, hapa Msakuzi kwa ajili ya upekuzi

NTOBI: Jeshi la Polisi wamefika nyumbani kwa Boniface, hapa Msakuzi kwa ajili ya upekuzi

Wakati wenzao wapo bize kunadi sera Chadema wapo bize kuanzisha migogoro na Polisi alafu baadae wanatukana na kukashifu Walimu wanaosimamia uchaguzi eti ' wanatumika na CCM kuiba kura' zao.

Hii strategy ya migogoro kwa lengo la kupata public sympathy haijawahi kufaulu. Na ingine ni ile ya kutumia manabii,wachungaji na maaskofu uchwara kusapoti hoja zao.
Makhuluku tabu hao....
 
Kingine ni hiki, Hakuna Polisi yoyote wa Tanzania mwenye nyumba nzuri kama ya Bonny, kuanzia IGP hadi Konstebo, ni fedheha sana!
 
Wakati wenzao wapo bize kunadi sera Chadema wapo bize kuanzisha migogoro na Polisi alafu baadae wanatukana na kukashifu Walimu wanaosimamia uchaguzi eti ' wanatumika na CCM kuiba kura' zao.

Hii strategy ya migogoro kwa lengo la kupata public sympathy haijawahi kufaulu. Na ingine ni ile ya kutumia manabii,wachungaji na maaskofu uchwara kusapoti hoja zao.
Kwa mfano mgogoro upi unaousema?
 
Wakati wenzao wapo bize kunadi sera Chadema wapo bize kuanzisha migogoro na Polisi alafu baadae wanatukana na kukashifu Walimu wanaosimamia uchaguzi eti ' wanatumika na CCM kuiba kura' zao.

Hii strategy ya migogoro kwa lengo la kupata public sympathy haijawahi kufaulu. Na ingine ni ile ya kutumia manabii,wachungaji na maaskofu uchwara kusapoti hoja zao.
"Injustice somewhere is the threat to justice everywhere."

Dr. Martin Luther King Jr.
 
Nilishasema siku nyingi sana ,mwafrika kumpa uhuru wa kuongea chochote atakacho kwa kisingizio cha demokrasia sio sawa .Denokrasia inatawaliwa na wapuuzi na wahuni kama Lema kushinda mitandaoni kushindana na serikali ni ujinga uliopitiliza aisee
Mnataka haki ila hamtaki mkufanyiwa haki
 
Hamna hoja, kuipinga ccm siyo dhambi, CCM siyo dini kama unavyotaka kutuaminisha, umeacha hata kuswali kisa kuteka watu, Mungu si Athumani
Jeshi la polisi limetangaza maandamano marufuku.

Ingieni mitaani si mnajimwambafai nyinyi?

Sisi tutawachungulia youtube.
 
Polisi wamechelewa sana kwa hilo Boni ,mnyika,masese, Sativa na Mdude walitakiwa kuwa ndani akiwemo Mbowe

USSR
Kweli wamechelewa sana
 
Pesa za walipa kodi zinakwenda bure tu kwa kamatakamata isiyo na maslahi yoyote
 
This time around uchaguzi utavutugwa kwa style yake. Kamata weka ndani, achia kamata, mpaka uchaguzi uishe
 
Polisi washamchukuwa, wwsnamshikilia kwa tuhuma za jinai.

Hakuna kitisho hapo. Tafuteni mawakili aakamtetee mahakamani.
Hamna cha ajabu hapo, kukamatwa na watekaji ni jambo la kawaida. Uzuri wameshindwa kumteka wakaamua kujifanya wamemkamata.
 
Back
Top Bottom