• "Natamani siku moja Malaika washuke hata waifungie hii mitandao ya kijamii......."
  • "Ole wake mtu atakayeleta fyokofyoko........sijaribiwi"
 
"watu wanaendekeza sana 'corrugation' "
. (akimaanisha corruption)
 
.................................Katereroooooo..................
 
1. Mimi na Mhimili wangu tuna mizizi mirefu kuliko mihimili minginem ambayo tunaipa fedha na kuwapa maelekezo mengine.
2. Hatupeleki chakula kwa watu walio kwenye sehemu zenye kijani
3. Wewe Shein kwa nini unatumia mkono wako kutia sahihi ili mtu fulani apata mafao wakati alikataa kuupokea huo mkono?
4. Watu wengine huku Zanzibar ni wa kutumbukizwa kisimani kabisa ili wanywe maji mengi wakome.
5. Angalieni kilichofanyika kwa Gadaffi wa Iraq. Msiwasikilize wanaotaka kutupeleka huko
6. Hakuna mtu wa kuleta vyokofyoko kwangu
7. Wewe mkurugenzi wa NHC endelea kubomoa na kunyang'anya nyumba kama ulivyofanya kwa yule jamaa wa Bilicanas
8. Nyie mahakama mmalize kesi mapema ili niwape mgao wa faini
9. Shilingi elfu tanotano wanazochukua trafic siyo rushwa. Ni fedha ya kusafishia viatu tu.
10. In my behalf
11. Wewe Makonda endelea kutumbua tu, mimi nipo nyuma yako. Natamani wakuu wa mikoa wote wawe kama wewe.
12. Wale walioimba sijui wana imani na nani, ningekuwa mimi ningewamaliza hata nusu yao.
13. wanaolalamika maisha magumu walizoea kupiga dili. Ni wapiga dili hao.
14. Nitakausha fedha hadi kwenye nyumba za ibada
15. Wale wanafunzi wa Udom ni vilaza
16. Wale waliokuwa wamehamia upinzani na kurudi tunatambua ni ng'ombe wasio na mikia.
17. Watumishi wote wa umma bosi wao ni CCM, asiyekubali hilo aache kazi.
 

Kutoka Hotuba ya Kagera baada ya tetemeko:
1)Likitokea tetemeko jingine Chato? nako nikawajengee nyumba?

2) Wanakagera...Nawapenda, nawapenda Kweli Kweli!!

3) Na ndio maana nikamchagua waziri wa viwanda kutoka huku (Kagera) Mzirankende! Ili vijengwe viwanda vingi!

4) Kiwanda sio lazima kiwe kikubwa...hata cha kuchomelea makarai NI KIWANDA!!

5) Natoa challenge kwako Mheshimiwa Rwakatare, tafuta wawekezaji, uanzishe kiwanda pale Kyerwa, uza matofali sh. 500 kwa bati!! Kupanga ni Kuchagua!! Tuambizane ukweli!

6) Na wale walioahidi kuchanga na hawajachanga, wazilete..ziko bilioni 4.5

7) Kuna mashirika ya kimataifa waliahidi kuchanga, hawajachanga. wazilete hizo hela ili zimalizie shule zetu!
 
Rais amekuwa na maneno mengi ya kuwatia moyo wanaccm
 
1. Wanaotangaza kuna njaa ni watu wanaolipwa pesa na wafanyabiashara na wanasiasa ili kusema nchi ina njaa na ukame wa kuuwa watu na mifugo.

2. Anayejua kuna njaa nchi hii ni Rais,mimi ndio naejua wapi kuna njaa na wapi hakuna.Tanzania hii haina njaa wala watu hawana njaa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…