Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Hapa kwenye msiba naona ametambulishwa mke mmoja wa marehemu ila kwa ninavyo jua mm marehemu ana wake wengi zaid ya huyu,,,
 
kwakuwa msema kweli ni mpenzi wa Mungu wacha nami niwe mkweli.Hiyo avatar imenifanya niwe zuzu.Unaonekana mrembo haswaa kiasi nimebung'aa mpaka nikadondosha tonge langu kubwa la ugali wa mtama na mchicha(hasara hii).Umejawa na bashasha na macho angavu hata mrembo wa kihistoria Cleopatra haoni ndani.Na mwisho utambulisho wako wa Evelyn salt(Evelina Chumvi) umeniduwaza...uzuri wako umekwenda hadi kwenye jina.Umetopea pendoni na hakika....
unaongea na mimi au unaongea na simu?
 
Hivi Ganja ni dawa ya sikio? au ya kumfanya mtu kujiona KingKong?
Katika dunia ya sasa hakuna kitu kinaweza kupotea ili mradi kimewahi kutamkwa mbele ya jamii. Lakn pia tunaweza kupoteza vitu admu pale tu tutakaposhindwa kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo na vya sasa. Kwa kipindi kirefu tumekua na nukuu za Baba wa Taifa mwalimu nyerere. Ni wakati mwafaka kuweka kumbumbuku ya maneno mazuri ya mheshimiwa Rais Magufuli.

Duniani tuna nukuu (quotes) zawa watu maarufu kama Martn Luther king, Jr. Abraham lincoln na wengine wengi. Kwa hapa kwetu tuna nukuu za baba wa taifa mwalim Nyerere.

Sasa ni wakati mwafaka kuweka nukuu zake kwenye uzi huu. Usihofu iwe mbaya masikio mwako au iwe nzuri wewe weka tu maana lolote analo litamka mkuu wa nchi linapaswa kutunzwa.

Naweka maneno mawili matatu kuanzisha ukurasa wa maneno ya mkuu wetu.

[emoji860][emoji860]Mimi ni raisi wa maskini wanaoshi kama malaika wataishi kama mashetani[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]serikali yangu haitawapa chakula Kila mtu atabeba msaba wake njaa haijaletwa na serikali[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] hakuna serikali iliyowahi kujenga nyumba za wahanga duniani pote. Nasisi hatujengi.[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] hakuna kufanya za siasa mpaka 2020 siasa huzuia maendeleo[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] siwezi kuwashirikisha wapinzani kwenye serikali yangu. Nakushangaa sheni kuwaingiza wapinzani[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]sijawahi kutamka katiba kwenye kampeni zangu za kuomba urais , katiba sio kipaumbele changu kwa sasa nainyoosha nchi kwanza[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]police mkukita mtu anaendesha gari kwenye njia ya mwendo kasi ng'oa tairi uzeni[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]watoto watasomeshwa bure kwenye utawala wangu hivyo fyatueni watoto wengi maana watasoma bure[emoji779]️[emoji779]️

Haya ni machache kati ya mengi aliyowahi kuyaongea . Ni wakati mwafaka kuweka maneno yake hapa.
 
Katika dunia ya sasa hakuna kitu kinaweza kupotea ili mradi kimewahi kutamkwa mbele ya jamii. Lakn pia tunaweza kupoteza vitu admu pale tu tutakaposhindwa kuweka kumbukumbu kwa vizazi vijavyo na vya sasa. Kwa kipindi kirefu tumekua na nukuu za Baba wa Taifa mwalimu nyerere. Ni wakati mwafaka kuweka kumbumbuku ya maneno mazuri ya mheshimiwa Rais Magufuli.

Duniani tuna nukuu (quotes) zawa watu maarufu kama Martn Luther king, Jr. Abraham lincoln na wengine wengi. Kwa hapa kwetu tuna nukuu za baba wa taifa mwalim Nyerere.

Sasa ni wakati mwafaka kuweka nukuu zake kwenye uzi huu. Usihofu iwe mbaya masikio mwako au iwe nzuri wewe weka tu maana lolote analo litamka mkuu wa nchi linapaswa kutunzwa.

Naweka maneno mawili matatu kuanzisha ukurasa wa maneno ya mkuu wetu.

[emoji860][emoji860]Mimi ni raisi wa maskini wanaoshi kama malaika wataishi kama mashetani[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]serikali yangu haitawapa chakula Kila mtu atabeba msaba wake njaa haijaletwa na serikali[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] hakuna serikali iliyowahi kujenga nyumba za wahanga duniani pote. Nasisi hatujengi.[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] hakuna kufanya za siasa mpaka 2020 siasa huzuia maendeleo[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860] siwezi kuwashirikisha wapinzani kwenye serikali yangu. Nakushangaa sheni kuwaingiza wapinzani[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]sijawahi kutamka katiba kwenye kampeni zangu za kuomba urais , katiba sio kipaumbele changu kwa sasa nainyoosha nchi kwanza[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]police mkukita mtu anaendesha gari kwenye njia ya mwendo kasi ng'oa tairi uzeni[emoji779]️[emoji779]️

[emoji860][emoji860]watoto watasomeshwa bure kwenye utawala wangu hivyo fyatueni watoto wengi maana watasoma bure[emoji779]️[emoji779]️

Haya ni machache kati ya mengi aliyowahi kuyaongea . Ni wakati mwafaka kuweka maneno yake hapa.
Kama watalii hawataki kulipa VAT wasije. Waende huko ambako hawalipi VAT!
 
Watu walime mazao yanayo stahimili ukame ikiwemo,mihogo,mtama na mpunga
 
kama bombadier haikimbie kapande ndege ya jeshi ukaye pale mbele uone inavyokata mawingu!!!!!!!!!!!
 
Kuna siku Masoud Kipanya amenichora nina nundu nikaenda kujiangalia kwenye Kioo nikajiuliza hivi nina nundu kweli?
 
Kila matatizo kagera,ukimwi kagera,tetemeko kagera,mnakijiji kinaitwa katerero na mto ngono!!!
 
Back
Top Bottom