hayo maoni yake,mhe rais hajawahi kutamka hilo!Imenivutia hii, naomba unikumbushe muktadha wake
Ahahahaaaaaa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..Imebidi niigize hiyo kauli huku nmepindisha kichwa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikisema serikali ya viwanda ya viwanda kweli kweli
Huku kapindisha kichwa
mkuu hio cheko la kichocheziAhahahaaaaaa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ..Imebidi niigize hiyo kauli huku nmepindisha kichwa...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HA ha ha ha ha ha haKILA KIJIJI KITAPEWA MILLION 50 SIJUI ZA MABOX AU.
SWISSME
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .... Majibu yake sasaaaaa... Matataaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]mwandishi:nje na siasa kitu gani kingine unapendelea?
Rais:Unataka nikwambie nakupenda wewe?