Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Nyerere mlimpa 20, Mwinyi mkampa 10, Mkapa mlimpa 10, Kikwete nae mlimpa 10 na mimi naomba mnipe mitano mingine.
 
Poleni Sana Wana Jamvi kwa msiba mzito wa Rais wetu, Hayati John Pombe Magufuli.

Mwenyezi Mungu aipumzishe Roho yake mahali Pema peponi.

Nilipita mitandao mbali mbali ya kijamii na kuona watu wanapost clips mbali mbali na ikanikumbusha kauli zake nyingi ambazo alizitoa katika kutetea wanyonge.
1. "Nime-sacrifice maisha yangu kwa ajili ya wa-Tanzania wanyonge".
2."Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu".
3. "Tanzania ni Tajiri na sio masikini".
4. "Wa-Tanzania mtanikumbuka si kwa Mabaya,Mtanikumbuka kwa mazuri"
Je, Kauli ipi unaikumbuka zaidii....Ongezea 👇
Mimi ni Rais jiwe
 
"Taifa hili tumeonewa sana haiwezekani wao wawe wanachukua chukua tu mali zetu sisi tunaangalia. Narudia kuwaambieni hivi ndugu zangu ;Tanzania ni tajiri."
 
"Kipindi Cha Nyuma Tajiri angekufanya chochote, Hapa Kwangu mimi Tajiri atafanywa chochote"

Na Kweli Matajiri wote walisimama mstari mmoja....Tuache utani huyu Jamaa alikua mwamba sio mchezo..
 
Kwani serikali ndio imelete tetemeko?

Nilivokuwa naomba kura nilisema serikali italeta tetemeko?
 
Nimeweza kujenga Flyover,SGR, kununua ndege, vituo vya afya Nchi nzima, "Siwezi kushindwa kuajiri vijana waashinda na bahasha kutwaaa mtaani".
 
"Kipindi Cha Nyuma Tajiri angekufanya chochote, Hapa Kwangu mimi Tajiri atafanywa chochote"

Na Kweli Matajiri wote walisimama mstari mmoja....Tuache utani huyu Jamaa alikua mwamba sio mchezo..
Then kukawa na ajira? Au unafuu wa maisha?
 
tz hakuna corona
hivyo basi ndugu zangu watalii waje kwa wingi na wao wakacoronize huko serengeti🤣🤣🤣🤣
dah aisee jpm sure u will be missed
ingawa umetutoka ila kila nikipita nikiona miundombinu inayoendelea naona magufuli
 
Back
Top Bottom