Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Kwa maelezo yako

Chanjo hujachanjwa
Nyungu hujapiga
Hujajifungia unaenda kazini kila siku


Mbona hujafa na corona sasa??
Ndugu zangu wamekufa kwa Corona.Dada yangu bonge alikufa kwa Corona,Mungu mlaze mahali pema peponi.Mimi najikinga sana.Natii sana masharti ya WHO ndiyo maana nipo hai hadi leo.
 
"Tengenezeni hata gongo ya korosho"
"Kosea njia usikosee kuoa"
"Wanaoona ajira ya serikali hailipi waache kazi wakalime"
 
Shukrani Rais Magufuli kwa muda wako uliokuwa nasi.

Hakika asiyekubali kuwa ulikuwa chaguo la Mungu ni wazi hatokuwa amejifunza kitu. Kwa jinsi Mungu anavyoipenda Tanzania akakuleta wewe, ili kupitia wewe tutambue umuhimu wa kuwa na nchi yenye taasisi imara. Alikuinua katika kipindi ambacho sote hatukuwa tukitarajia kama utakuwa Rais.

Alivyoona tunaelekea kukuongezea muda akatambua ya kuwa hilo halikuwa kusudio lake. Mungu anayetupenda hakutaka tuendelee kuishi "vile". Ni imani yake yake kuwa ametusaidia kujifunza na kuifanya Tanzania kutengeneza taasisi imara na hatimaye kuwa amekamilisha hitaji lake la kuwapa maisha ya asali waja wake.

 
"Na nyie waandishi siyo unaandika kila kitu, your not that free"
 
'Tusibaguane kwa ukabila, itikadi za vyama au dini'
Wakati yeye alikuwa mbaguzi kupindukia hasa ukabila na itikadi za vyama!
 
Nawaza kwa mdomo tu kwamba kama Marehemu angeibuka muda huu nafikiri kwa kwanza agekuwa Spika kuikana kabisa kauli yake ya jana kuhusu Bandari ya Bagamoyo.
Ni kweli angakana maana huyu mtu haaminiki hata chembe.😡
 
Shukrani Rais Magufuli kwa muda wako uliokuwa nasi.

Hakika asiyekubali kuwa ulikuwa chaguo la Mungu ni wazi hatokuwa amejifunza kitu. Kwa jinsi Mungu anavyoipenda Tanzania akakuleta wewe, ili kupitia wewe tutambue umuhimu wa kuwa na nchi yenye taasisi imara. Alikuinua katika kipindi ambacho sote hatukuwa tukitarajia kama utakuwa Rais.

Alivyoona tunaelekea kukuongezea muda akatambua ya kuwa hilo halikuwa kusudio lake. Mungu anayetupenda hakutaka tuendelee kuishi "vile". Ni imani yake yake kuwa ametusaidia kujifunza na kuifanya Tanzania kutengeneza taasisi imara na hatimaye kuwa amekamilisha hitaji lake la kuwapa maisha ya asali waja wake.

View attachment 1747106
Mwendazake bana, mbona zimepotea Bil 29 ?
 
Tag
jamiiforums_1616781800713853.jpg
 
Back
Top Bottom