Taifa stars ikifungwa nitapeleka wanajeshi wacheze watuletee kombe.
 
Ninatuma jeshi Mtwara na Lindi litasomba korosho zote ndani ya siku tatu.
 
Vijana wafanye kazi, wakishindwa kufanya kwa hiari yao wafanye kwa ladhima. Kamata peleka ndani, wakitoka huko watakuwa wamejua ASIE FANYA KAZI ASILE. Hii kauli ilikuwa ya kijasiri sana niliikubali. R I P JPM.
 
"Hili handaki ni kivutio cha utalii hapa Kilosa, unaweza kuja na mpenzi wako ukapiga hata picha hapa"😀
 
“Laana nyingine tunajipa wenyewe..hata mbwa hajawahi kukosea akaingiza nyuma kwa mwanaume mwenzake’’
 
Bila shaka huko aliko kuna viumbe vinamuhoji kuhusu kauli zake tata kisha vifanye uamuzi aingie peponi au kwenye moto wa kuyeyusha vyuma
 
"Mungu oyeee"
Kanisani Chato. Akisherehekea kuidhibiti KORONA baada ya maombi ya kitaifa 2020.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…