abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Raiti traiki
Tumedanganywa sana, tumebagazwa sana, tumelaliwa sana ,tumechezewa sana kwenye hili taifa la Tanzania.
Hiyo ni Jiwe au au nani?1. Gharama ya uzalendo ni kifo, hivyo tuombeane ndugu zangu!
2. Nikifa mtanikumbuka kwa mazuri, sio mabaya.
3. Natamani niendelee kuwepo ili nishuhudie hii miradi ikikamilika. Sina uhakika kama atakayefuatia ataendelea nayo.
4. Ukiona adui yako anakusifia jua hakuna unachofanya, ila ukiona adui yako anakutukana ujue uko kwenye njia sahihi.
[emoji23]ningekuwa mimi ningefufuka nikulambe kofi alafu nirudi kuzimu
Haswaaa. Yaani tangu huyu mwanamke akamate usukani maisha imekuwa mbofu kabisaReport hii ingekuja kabla ya 17 march 2021 ingekuwa sawa hii ni november mama kaenda kupitisha bakuri lake mataifa ya nje anakuja mjinga mmoja kama wewe na kupost upuuzi kama huu ili tuu ubalance kile unachopenda kusikia shame on you.
DahππNaikumbuka hiiππππ
View attachment 2055663
Rafiki tokea upate mchumba umepotea sana!πππDahππ
Wee mchumba yupi huyo na sina churaπ ebu niache mimi.Rafiki tokea upate mchumba umepotea sana!πππ
Rafiki pole.I real missed you so much.Nilikua na bonge la homa aisee, Mungu mwema am now ok