mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Akimpenda mkewe Janet inatosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Mriponichagua niriahidi nitaleta tetemeko"?Barakoa ni sawa na titi moja la mwanamke.
Siku moja ina saa 48 sasa utavaa barakoa 4 ndugu zangu?
Mkuu wa wilaya naomba nikueleze "ukweri" hakuna "chakura " cha serikali ? Serikali haina shamba
Mama unataka "kupanuriwa " wapi mbere au nyuma?
Huo ndio ukweri wenyewe ,nasema uongo ndugu zangu? (Akiwa anapiga fix alipenda kuutumia kujilinda)
Tetemeko limeiumiza " serikari" na wananchi na kwa hivyo kira mmoja abebe "msaraba:" wake
"Mriponichagua " niliwaahidi "nitareta" tetemeko?
Mwafwaa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mmeishiwa vya kupost???
Baki na mavi yako kichwani jinga weweUnatafuta pa kutokea? Baki na bichwa lako la ujinga
Vita ya kiuchumi ni ngumu kuliko vita vyote make unaepigana Naye hujui nguvu zake au nasema uongo ndugu!! Nasema uongo !!Rest In Peace JPM mwamba ulionesha vile nchi inatakiwa kuongozwaIandike kauli unayoikumbuka kutoka kwa hayati JPMView attachment 2055588
We mhuni nakujua kataa wahuniMmeishiwa vya kupost???
Alisema ajira ya ualimu ni elfu 13 wakati hata 1000 hawakufika. Alisema tunajenga daraja la salenda kwa pesa zetu wenyewe wakati ni mkopo kutoka imf Tena kwa asilimia Mia. Alisema aliandika mwenyewe thesis ya PhD kumbe aliandikiwa na tulia aksoniAlikudanganya nini
Kuwa miradi yote anayojenga anatumia pesa za ndani!!"pesa zipo nyingi"ila jamaa alikuwa muongo sana!!Alikudanganya nini
😂ningekuwa mimi ningefufuka nikulambe kofi alafu nirudi kuzimu
Iandike kauli unayoikumbuka kutoka kwa hayati JPMView attachment 2055588