Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Barakoa ni sawa na titi moja la mwanamke.

Siku moja ina saa 48 sasa utavaa barakoa 4 ndugu zangu?

Mkuu wa wilaya naomba nikueleze "ukweri" hakuna "chakura " cha serikali ? Serikali haina shamba

Mama unataka "kupanuriwa " wapi mbere au nyuma?

Huo ndio ukweri wenyewe ,nasema uongo ndugu zangu? (Akiwa anapiga fix alipenda kuutumia kujilinda)

Tetemeko limeiumiza " serikari" na wananchi na kwa hivyo kira mmoja abebe "msaraba:" wake

"Mriponichagua " niliwaahidi "nitareta" tetemeko?

Mwafwaa!
"Mriponichagua niriahidi nitaleta tetemeko"?
Hapana muheshimiwaaaaa
 
"Sitakaa niteue mpinzani katika serikali yangu..." 2016 akiwa Pemba alipokuwa akimkashifu Maalim Seif kususia uchaguzi na SUK, ila akawa Rais aliyeongoza kununua Wapinzani na kuwabeba bila kuzingatia kura za maoni


''Siwezi kugawa mkoa au wilaya ni kuongeza gharama za kuendesha serikali huku wananchi hawapati huduma" 2017 akiwa Morogoro baada ya kuombwa kugawa mkoa huo.... Kumbe alikuwa ba mpango wa kuifanya Chato iwe mkoa
 
munataka kupanuliwa.......................................barabara
 
Bila kujali itikadi/ kabila/ vyama vyetu tuijenge Tanzania yetu, lakini zaidi ya yote tumtangulize Mungu mbele
 
Back
Top Bottom