Na nawaambia wamiliki wa vyombo vya habari; be careful and....watch it ahahaha hapa nilimpenda sana,yaani alikuwa na hasira Kali, tokea hapo hawakumtania tena ahahaha
 
Huyo mjinga aliamin anaweza kuwa Rais kwa muda mrefu,hilo mbona linawezekana,alikuwa anaongea utazan yeye ndo mungu
 
Kasim majaliwa anaenda kuivunja bado miaka mitatu tu.tunamuombea uzima shabiki kindakindaki wa simba avunje rekodi ya sumaye
 
Font Feji





Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
Tumelaliwa Sana Ndugu Zangu
Tumegongwa Sana Ndugu Zangu
Tumehomolwa Sana Ndugu Zangu



Vyovyote Mtakavyosema Najua Mmenielewa


Kwenye Utawala Wangu Maneno Matamu Matamu Sitayasema Mimi ,Nitasema Makavu
Subirini Utawala Wangu Uishe Utakaokuja Aanze Kuwabembeleza
 
"Kuna mpiga kelele mmoja, tuli trac simu yake tukaona anatuma meseji anasema naomba data hii, naomba data hii"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…