Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Umenena kweli na kwa uchungu mkubwa lakini nenda taratibu mzee,usijenaswa kwa ku post maudhui yenye maudhi kwa mfalme.Hivi humu hamna wazee wa miwani myeusi(nyoka) wasije wakakutia nguvuni kisha zako korodani(kokwa) wakazibondabonda kwa mawe.sio watu wazuri wale.
Wazee wa miwani myeusi hawawez kukosa humu.....
 
Ni keel mzee.Siku alipokuwa akihojiwa na waandishi wa hbr kwa kutimiza Mwaka mmoja ikulu.
 
Na nilikuwa nangoja nao waandamane niwafukuzilie mbali
( Wanafunzi wa UDOM).

Mimi chuo kikuu nimesoma mlimani na nilikuwa nakaa hall three karibu na bweni la wasichana, nilikuwa napenda kwelikweli
 
Back
Top Bottom