Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)
Ktk serikali yangu kiongozi akiharibu karatu sintomuhamishia tabora, atakaratukia hapahapa karatu. Sasa tunayaona, Chezea magu ww..
 
''Kama mnafurahi kutangazwa hadharani mnapoteuliwa, kwa nini mchukie mnapotumbuliwa hadharani''

''kwenye serikali yangu ukimcheleweshea mwanafunzi mkopo huna kazi''
 
Daah,we mleta Uzi sijui hata umewaza nini!!! Asante sana. Hii ni post ya siku!!
 
Back
Top Bottom